Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 338
Chadema mpo kweli?au ndo mmeshakufa?nawatonya tu msije mkasema sijawatonya kick ndio hii hapa ya kutokea kwa soko la karume kuwaka moto,sasa nyie tungeni propaganda nzuri kuwa moto huo uliwashia ikulu ukaja tupwa soko la karume maana nyie si ndio kile chama cha matukio?na tukio ndo hilo sasa!changamkeni