Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mkuu ni yule mdogo wako anayesoma jangwani sekondari.Huyu mwanamke mwenye fulana ya njano anaitwaje?
Mkuu ni yule mdogo wako anayesoma jangwani sekondari.Huyu mwanamke mwenye fulana ya njano anaitwaje?
Mbona unajichkesha unatatizo gani au unasoma shule za bweni make wanafunzi wa bweni ndiyo hasa wanayo haya matatizo ya kujichekeshachekesha.Mmeanza kuisahau Chadema kwa kuianzishia thread....kwi! kwi! kwi!
Taratibu mnaanza kuiona kuwa CHADEMA si lolote tena
Mwenyekiti na katibu wako hoi kabisa hawajui wafanye nini.
Mbona unajichkesha unatatizo gani au unasoma shule za bweni make wanafunzi wa bweni ndiyo hasa wanayo haya matatizo ya kujichekeshachekesha.
Ndugu zanguni,
Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.
JITAMBUENI MBULUMUNDUS
![]()
Mkuu ni yule mdogo wako anayesoma jangwani sekondari.
Taratibu mnaanza kuiona kuwa CHADEMA si lolote tena
Mkuu BAK, CHADEMA ndio wamegundua leo kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?
Lini vyama hivi vitatu vimepatana na kuwa kitu kimoja???
Frankly speak, Kiukweli kama ilivyokuwa kwa Tanganyika kufa natural death, hivyo hivyo kwa chama changu CHADEMA, tatizo ni uongozi wa juu kujiamlia mambo bila mpangilio, kujaza watu kwenye mikutano ya UKAWA isiwe sababu ya kujifariji kwani huu ni muungano usio stable kabisa(Show off), mnaosema ni muungano wa kwenye katiba mpya tu na nyie mmepotoka na kupotoshwa kwani tayari watu washaanza kujipanga kwa uchaguzi wa 2015.
Athari zake zitawafika hasa vijana wachanga kisiasa kwa kukosa fursa za uongozi sababu by nature UKAWA ITALAZIMU KUTUMIA WANASIASA WAZOEFU NA WAKONGWE KUTOKA CDM, CUF na NCCR hivyo hakutakuwa na dhana ya vijana kama nguvu ya mabadiliko.
Frankly speak, Kiukweli kama ilivyokuwa kwa Tanganyika kufa natural death, hivyo hivyo kwa chama changu CHADEMA, tatizo ni uongozi wa juu kujiamlia mambo bila mpangilio, kujaza watu kwenye mikutano ya UKAWA isiwe sababu ya kujifariji kwani huu ni muungano usio stable kabisa(Show off), mnaosema ni muungano wa kwenye katiba mpya tu na nyie mmepotoka na kupotoshwa kwani tayari watu washaanza kujipanga kwa uchaguzi wa 2015.
Athari zake zitawafika hasa vijana wachanga kisiasa kwa kukosa fursa za uongozi sababu by nature UKAWA ITALAZIMU KUTUMIA WANASIASA WAZOEFU NA WAKONGWE KUTOKA CDM, CUF na NCCR hivyo hakutakuwa na dhana ya vijana kama nguvu ya mabadiliko.
Kwani kuna muda maalum uliopangwa nchini wa vyama vya siasa kuona umuhimu wa kuungana!? Ni miaka mingapi!? TANU na Afro Shiraz Party ilivichukua miaka mingapi tangu vianzishwe mpaka vilipoona umuhimu wa kuungana mwaka 1977!? Wapi nilipoandika kwamba vyama hivyo vimeamua kuwa kitu kimoja!? Tofautisha kati ya kuunganisha nguvu na kuwa kitu kimoja, mbele ya safari kama vyama hivyo kupitia viongozi wake na wanachama wataona umuhimu wa kuvunja vyama vyao na kuunda chama kimoja basi hakuna ubaya wowote wa kufanya hivyo.
Ndugu zanguni,
Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.
JITAMBUENI MBULUMUNDUS
![]()