Hivi CHADEMA bado wapo?

Hivi CHADEMA bado wapo?

Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, CHADEMA ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa CHADEMA ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwenda wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa UKAWA.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG

hivi siku hizi kila mtu hapo lumumba fc kageuka Yahaya? Utasubiri sana!
 
Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, CHADEMA ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa CHADEMA ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwenda wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa UKAWA.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG

Hongera kwa kujinyakulia buku 7 bi Christina!
 
Ndugu zanguni, Kama ilivyotabiriwa, CHADEMA ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa CHADEMA ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwenda wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa UKAWA. JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG
Hivi utajidanganya hadi lini hukuona picture juzi..hizi tabia za kupiga picture kabla ya tukio kuchanganya,kupiga picture mbele kabisa..na kwenda danganya watu..zina madhara kwa waliotuma....kuliko waliolengwa.Kwanini usipige pande zote kuthibitisha hilo..
 
Hivi utajidanganya hadi lini hukuona picture juzi..hizi tabia za kupiga picture kabla ya tukio kuchanganya,kupiga picture mbele kabisa..na kwenda danganya watu..zina madhara kwa waliotuma....kuliko waliolengwa.Kwanini usipige pande zote kuthibitisha hilo..

Mkuu achana na huyu KULI dhulumati wa rambirambi za wajane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom