AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,880
- 5,608
chadema si chama, CHADEMA ni Imani!








Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
chadema si chama, CHADEMA ni Imani!








Yeah, ni baba lao wezi wa magari.
Mbona lumumba wamejaa manyani tu, hakuna binadamu hata mmoja.Nilifikiri wenye mtindio wa ubongo ni Lusinde na Komba pekee kumbe Lumumba mtindio ni fasheni? Kwa hili nalo unalipwa? Basi mlipaji ndio taahira zaidi ya kiwango cha kawaida
chadema si chama, CHADEMA ni Imani!
Siku mtu akinitukana kwa kusema "lione lina akiri kama za maccm" nitanyoka nae mpaka nihakikishe mimemwachia alama yoyote mwilini ili iwe kumbusho maisha yake yote hapa duniani!!!!!
Hakuna tusi kubwa kushinda hilo I swear......
BACK TANGANYIKA
Chadema mpo kweli?au ndo mmeshakufa?nawatonya tu msije mkasema sijawatonya kick ndio hii hapa ya kutokea kwa soko la karume kuwaka moto,sasa nyie tungeni propaganda nzuri kuwa moto huo uliwashia ikulu ukaja tupwa soko la karume maana nyie si ndio kile chama cha matukio?na tukio ndo hilo sasa!changamkeni
Maisha bora kwa kila mtanzania kumbe ni kwa watawala tu.Ni imani ya wajinga na misukule maana ndio hawajielewi na ndio waliozoea kudanganywa
Ww Mtunga mada unaishi kuzimun au huoni CDM jinsi kinavyo endelea kwa kasi utazan ndo chama tawala.
You? sorry I'm not your type!Tikikunukuu usikatae.
Madame Tikikunukuu ndio lugha gani?
BACK TANGANYIKA
Kama nimekusoma vizuri ni wazi unakiri kuwa CHADEMA kwa sasa haihitahijiki ama kwa lugha nyingine imejifia, anyway kwa mtazamo wako je CHADEMA au UKAWA ni jibu au suluhisho kwa matatizo ya Mtanzania hususan ukiangalia aina ya viongozi waliokuwepo CHADEMA au UKAWA....hebu fanya assessment ya uongozi wao katika hivyo vyama then uone utayar wao wa kulitoa taifa hapa lilipo na kulipeleka huko unapofikiri...Mi nadhani you are looking at it all the wrong ways, and you are not seeing the big picture here! Watanzania hawahitaji CHADEMA, wanahitaji mabadiliko. Sasa kama yatakuja kupitia nini, that does not matter.
Kwa sasa tunahitaji kuona tunapata system mpya itakayokua na majibu ya matumaini kwa maisha yetu kama wananchi.
**Tunahitaji system itakayotuhakikishia huduma za afya zilizoboreshwa mpaka na hao wanafiki waanze kutibiwa nchini. **System itakayosimamia matumizi sahihi na makusanyo sahihi ya kodi za wananchi, ikizingatia kuwapunguzia mzigo usio wa lazima
**System itakayowahakikishia wamanchi elimu bora yenye kumsaidia anayeipata, badala ya huu unafiki wa sasa wa wao kukimbiza watoto wao nje, huku wakiwaambia watu shule zetu ni nzuri
**System itakayowapa wote haki, hata wale ambao ni wahalifu, na siyo hii ya sasa ambayo haiwezi kuwatendea haki hata wasio na makosa.
Tunataka mabadiliko yatakayotutoa kwenye huu utawala wa watu wenye tamaa za fisi na uroho wa nguruwe. Just MABADILIKO. it doesn't matter yanatoka wapi. Hatujali kama kinachotufikisha huko kitaitwa CHADEMA, JAMII MPYA, MTI MKAVU au nini sijui. What matters is ustawi wa maisha ya Watanzania. And that is what this big picture is all about!
Kama nimekusoma vizuri ni wazi unakiri kuwa CHADEMA kwa sasa haihitahijiki ama kwa lugha nyingine imejifia, anyway kwa mtazamo wako je CHADEMA au UKAWA ni jibu au suluhisho kwa matatizo ya Mtanzania hususan ukiangalia aina ya viongozi waliokuwepo CHADEMA au UKAWA....hebu fanya assessment ya uongozi wao katika hivyo vyama then uone utayar wao wa kulitoa taifa hapa lilipo na kulipeleka huko unapofikiri...