Hivi CHADEMA bado wapo?

Hivi CHADEMA bado wapo?

Mkuu ni yule mdogo wako anayesoma jangwani sekondari.

Kwa bahati mbaya sana sijawahi kuwa na ndugu huko usemako ila jawabu lako linawiana na upeo wako kwa asilimia zote kinyume kabisa na uwiano kati ya mwili wako na akili yako.
 
Ndani ya CCM ni raha tupu - kweli kijana anafaidi

10416622_623296971111734_1237464970913797645_n.jpg

1401183845677.jpg
Unaliona Zombie hilo...huwezi kuwa na akili timamu kwa kichwa na uso wa namna hii....
Kama vile ana Down syndrom....
 
Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG

Haya ni matatizo ya kufanya kazi ya ukuli hadi uzeeni akili inachoka na mwisho unabakia kuwa mpiga dili za matatizo ya watu (misiba)
 
Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG

Si nilisikia wamebadili jina la chama na kinaitwa UKAWA siku hizi
 
Ipo hivi ww mleta uzi, CDM imepanda kitu ndani ya akili za watu.Kwa mfano hata ikipotea kesho,IMPACTS yake ni kubwa sn ktk jamii.Unataka kuiona? Subiri utakuja kukubali mwenyewe hapa.Sehemu yoyote ile ambapo democrasia inakandamizwa kwa nguvu ya dola IPO SIKU WANYONGE watakataa,ndo kinachokuja mbele ya safari.

Nani asiyejua kuwa upande wa pili wa shilingi wanatumia MAMBO YASIYOSTAHILI KATIKA KUENDELEA KUTAWALA?

Jiulize na tafakari.

Mie nipo serikalini na naliona hili ingawa sijihusishi na politics.
 
Political Natural death. Siku hizi hakuna hata Peoples Power tena kwenye mikutano yao.

Hata kwenye makabrasha ndani ya ofisi zao za Ufipa, Kinondoni utakuta neno UKAWA limeanza kuonekana mara nyingi zaidi la neno CHADEMA.

Tulikuwa tunawasikia wakisema CHADEMA ni mpango wa Mungu, kwa sasa hao hao wameanza kusema UKAWA ni mpango wa Mungu. Yaani Mungu wao hafahamu hata yupi ndiyo mpango wake kama wanataka kutuaminisha kuwa CHADEMA bado ni hai.

Mkuu umenichekesha sana, eti chadema mpango wa Mungu wakati viongozi wanavunja ndoa za watu ambazo zimeunganishwa na Mungu, sijui Mungu wao kabila gani?!.
 
Magamba mtaweweseka Sana,maana mnaona jahazi menu linazama kwa Kula hatua inayopigwa na UKAWA.2015 magamba kwaherini mtuwachie Tanganyika yetu.
 
CHADEMA bado ipo? wapi? Mbona makamanda tupo kila pembe ya ardhi hii KG ndo usiseme.Endelea kujifariji hewani
 
wewe ndio haujitambui kabisa mwigulu amefanya ziara huko uk zaidi ya 2 lakini katika picha zote sijawahi kukuona je huwa haualikwi? Au wewe uanachama na ushabiki wako kwa ccm unaishia humu jf tu na hakuna mwanaccm yeyote anayekutambua kuanzia walioko huko na waliopo huku, au wanaogopa kujidhalilisha kutokana na kazi ya ukuli unayofanya huko?

katibu wa ccm shina la birmingham na mwenyekiti wa kamati ya maadili tawi la uingereza bi. Lilian barongo akiwa pamoja na mwenyekiti shina la northmpton dr. Abdalah saleh na bi. Rose kiputa katibu shina la cardiff – wales


.baadhi ya viongozi na wanachama wa chama cha mapinduzi tawi la uingereza wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano wa st. Patrick jijini leicester wakisubiri kuwasili kwa naibu katibu mkuu ccm taifa mh. Mwigulu nchemba.
img_4611.jpg

ccm maana yake tumbo mbele maendeleo nyuma, nani hajui hilo? Achenikuwalaghai watanzania
 
Tokea kuanza kwa upinzani, ilishawahi kutokea ziara ya chama cha mapinduzi ndefu kama ya mwaka huu? Inayofanya na uongozi wa kitaifa tena nchi nzima?
 
Lukosi, pesa za rambi rambi vipi?
Mbona ana ongelea mambo mengine tu. mjane vipi? alishapata haki yake,Lukosi baki ccm huko utalindwa km wezi wenzio wanavyolindwa maana ccm ni genge la wahalifu.mafisadi,wazinzi, majangili(kinana)Wauza madawa yakulevya,walarushwa.chadema ipo ww piga box ukirudi utaikuta.
 
Hivi mtu unauliza chadema wapo una akili timamu kweli,alafu eti ni mpango wa Mungu au lah,kamuulize kikwete na Vicky kamata
 
Mkuu umenichekesha sana, eti chadema mpango wa Mungu wakati viongozi wanavunja ndoa za watu ambazo zimeunganishwa na Mungu, sijui Mungu wao kabila gani?!.

kumbe ni ndoa tu inavunjwa!vipi nyie mnaoua,kung'oa kucha na kutesa viumbe walioumbwa na Mungu mwenyewe?kwani Mungu wenu ni kabila gan?maana kwa jins mlivyo wabaguzi gamuishi kutaja kabila kwa kila liwatokalo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom