Hivi CHADEMA bado wapo?

Hivi CHADEMA bado wapo?

Mkuu, Stephen Wassira aliposema kuwa CHADEMA kitakufa 2014 hawakumuelewa. Sasa kila kitu hadharani

Najua mnaujua ukweli ya kuwa cdm ipo imara mnachofanya ni kutaka cdm ijiondoe ukawa ila ukweli ni kwamba Walipoungana Hamkujua sasa mnajichanganya sioni mkisema Ukabila na udini tna
 
Taratibu mnaanza kuiona kuwa CHADEMA si lolote tena
Mimi watu kama hawa hata sishangai wanapokuja na silly excuses kutaka kuharalisha kile ambacho wenye chama wamekiamua.

Kuna baadhi ya watu walikuwa wanarusha matusi ya ajabu kuhusu vyama vingine kwa sababu tu wenye chama hawakuvihitaji hivyo vyama. Kwa sasa ndiyo wako mbele wakisema eti hakuna adui wa kudumu. Sasa sijui wakati wanarusha matusi hawakufahamu kitu kama hicho.
 
Political Natural death. Siku hizi hakuna hata Peoples Power tena kwenye mikutano yao.

Hata kwenye makabrasha ndani ya ofisi zao za Ufipa, Kinondoni utakuta neno UKAWA limeanza kuonekana mara nyingi zaidi la neno CHADEMA.

Tulikuwa tunawasikia wakisema CHADEMA ni mpango wa Mungu, kwa sasa hao hao wameanza kusema UKAWA ni mpango wa Mungu. Yaani Mungu wao hafahamu hata yupi ndiyo mpango wake kama wanataka kutuaminisha kuwa CHADEMA bado ni hai.

this is what we call poor risk assessment

brand ya chadema ilikuwa ver powerful kuliko hii ya UKAWA,

basi tena, akili ndogo zikiamua tena
 
Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG
Wapo lakini wamebadili jina wanajiita UKAWA.
 
Wewe ndio haujitambui kabisa Mwigulu amefanya Ziara huko UK zaidi ya 2 lakini katika picha zote sijawahi kukuona je huwa haualikwi? au wewe Uanachama na ushabiki wako kwa CCM unaishia humu JF tu na hakuna mwanaCCM yeyote anayekutambua kuanzia walioko huko na waliopo huku, au wanaogopa kujidhalilisha kutokana na kazi ya ukuli unayofanya huko?

Katibu wa CCM shina la Birmingham na Mwenyekiti wa kamati ya Maadili tawi la Uingereza Bi. Lilian Barongo akiwa pamoja na Mwenyekiti shina la Northmpton Dr. Abdalah Saleh na Bi. Rose Kiputa Katibu Shina la Cardiff – Wales


.Baadhi ya Viongozi na wanachama wa chama cha mapinduzi tawi la Uingereza wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano wa St. Patrick Jijini Leicester wakisubiri kuwasili kwa Naibu Katibu Mkuu CCM TAIFA Mh. Mwigulu Nchemba.
IMG_4611.JPG

Nipo hapo, ila kwa sababu ni mweusi sana huwezi niona
 
CHADEMA bado wapo sana tu, kwenye hili la katiba mpya na safari ya kuelekea uchaguzi Mkuu 2015 CHADEMA, CUF na NCCR wameamua kuunganisha nguvu katika kupambana na Serikali dhalimu inayotaka kuchakachua maoni ya Watanzania kama yalivyokusanywa na Tume ya Warioba. Siku zote kumbuka kwamba UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU hii ndio sababu kubwa ya vyama hivi vitatu kuamua kuunganisha nguvu.

Mkuu BAK, CHADEMA ndio wamegundua leo kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?
Lini vyama hivi vitatu vimepatana na kuwa kitu kimoja???
 
Last edited by a moderator:
Frankly speak, Kiukweli kama ilivyokuwa kwa Tanganyika kufa natural death, hivyo hivyo kwa chama changu CHADEMA, tatizo ni uongozi wa juu kujiamlia mambo bila mpangilio, kujaza watu kwenye mikutano ya UKAWA isiwe sababu ya kujifariji kwani huu ni muungano usio stable kabisa(Show off), mnaosema ni muungano wa kwenye katiba mpya tu na nyie mmepotoka na kupotoshwa kwani tayari watu washaanza kujipanga kwa uchaguzi wa 2015.

Athari zake zitawafika hasa vijana wachanga kisiasa kwa kukosa fursa za uongozi sababu by nature UKAWA ITALAZIMU KUTUMIA WANASIASA WAZOEFU NA WAKONGWE KUTOKA CDM, CUF na NCCR hivyo hakutakuwa na dhana ya vijana kama nguvu ya mabadiliko.
 
Political Natural death. Siku hizi hakuna hata Peoples Power tena kwenye mikutano yao.

Hata kwenye makabrasha ndani ya ofisi zao za Ufipa, Kinondoni utakuta neno UKAWA limeanza kuonekana mara nyingi zaidi la neno CHADEMA.

Tulikuwa tunawasikia wakisema CHADEMA ni mpango wa Mungu, kwa sasa hao hao wameanza kusema UKAWA ni mpango wa Mungu. Yaani Mungu wao hafahamu hata yupi ndiyo mpango wake kama wanataka kutuaminisha kuwa CHADEMA bado ni hai.

Ahahahahahahaaaaaaaaaaaa mwaka huu CCM mnalo. Mtajamba chehe pyuuuuuuuuuuu. UKAWA Juuuuuuuuuuuu juuuuuuuuu juuuuuuuuuu zaidi.
 
Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG

Wasingekuwepo usingeweza kuwaongelea kwan topic zako zote humu ni juu ya cdm.
 
Ndugu zanguni,

Kama ilivyotabiriwa, Chadema ndio inayeyuka kama barafu juani . Wengi tuliyajua haya lakini makamanda viroba wakabisha kwa matusi marefu marefu, lakini sasa nadhani nao wameanza kuamini kuwa chadema ni kama ngoma wa mdundiko tu, haieleweki inakwendfa wapi na sasa mwisho wa ngoma umefika wanajibanza kwa ukawa.

JITAMBUENI MBULUMUNDUS
IMG_9927.JPG

Kaka hvi bdo unabeba maboksi na uzee wote huo.
 
Chadema kilishakufa kitambo sana wengine tumeanza kukisahau kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom