Akawaelimishe kwanza watu anaowafahamu yaani, majirani zake, marafiki zake wa karibu na watu anaofanya nao kazi halafu ndio aje hapa kuelimisha watu asiowafahamu.Mtu huwezi kumuelimisha mtu kwa kuwa wazi kwenye issue ngumu kama HIV wakati umeshindwa kujitambulisha kwa jina lako kamili ili jamii inayokuzunguka ikiwemo jf wakujue!
pole sana dada . sasa kama mtu akitaka kavu kavu ukimwambia kuwa wewe ni mwathirika bado ataendelea kutaka tu???
Haa haaa.Poa.But am praying you become a Christian.Kumtaja mungu katika kadhia ya kiutamaduni kutambuliwe kama kumtaja mungu katika kadhia ya kiutamaduni.
Ukichukulia kila kitu literallly utaambiwa "moyo wangu umekufia" ukalia msiba bure.
Mimi nanukuu mpaka mistari ya misahafu.
Hilo halinifanyi kuwa muumini.
Haa haaa.Poa.But am praying you become a Christian.
Never say Never.You can be again.Utafika wakati Atajidhihirisha kwakoI was a Christian before it was fashionable to be a Christian.
I practically dined with Christ himself.
He couldn't answer my questions.
I couldn't follow him.
My jojo....nlisema ntakudai popote ntakapokuona ndo nimeshaanza
Leo Jioni nakuletea...how about that..!
Akawaelimishe kwanza watu anaowafahamu yaani, majirani zake, marafiki zake wa karibu na watu anaofanya nao kazi halafu ndio aje hapa kuelimisha watu asiowafahamu.Mtu huwezi kumuelimisha mtu kwa kuwa wazi kwenye issue ngumu kama HIV wakati umeshindwa kujitambulisha kwa jina lako kamili ili jamii inayokuzunguka ikiwemo jf wakujue!
akili yako na ipanuke. Yeye ameeleza vizuri sana kuhusu kuanzisha network ya watu walio na hiv hapa jf ili wajue pakuanzia. Kumbuka nguvu inaunda hoja. Usikurupe kutoa hoja zisizo na mashiko mbele ya hadhira.
Mkuu kosa sana kwa kauli hii,soma vzuri ujumbe wake,au unaugonvi nae,yuko hapa kutuelimisha,vitu vingine angalia mkuu unapo comment
pole sana dada yangu. usijihukumu wewe mwenyewe wala kujinyanyapaa hivyo unayo nafasi ingine ambayo itaweza kukubadilisha maisha yako unayoishi sasa na kuwa mwingine, mtegemee Mungu kuwa mtu wa maombi na jua kuwa Mungu
unapomuendea yeye anasikia kwani sikio lake si zito wala asiweze kusikia na kutenda jambo jipya kwako
Kinachotakiwa kwako ni kumwamini na kumtegemea na kumpa maisha yako afanyike mtawala moyoni mwako soma
warumi 10:9 vile vile mwite yeye anayeponya atakuponya na utakuwa mzima usiwe na hofu wala mashaka kwa
M,ungu yote yanawezekana anaponya magonjwa yote yawe ya kufisha, kawaida yeye ni mponyaji kwani ulituma neno
lake la uponyaji na kukuponya pale utakapomwamini na kukubali na kumruhusu awe Bwana na Mwokozi wako utapata uponyaji
Cousin... Ngoja nimsaidie kuweka kifungu kabisaaa....
Warumi 10.9 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka"
Cousin... Ngoja nimsaidie kuweka kifungu kabisaaa....
Warumi 10.9 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka"
Du!pole cn ila do u regreat kwa kuwa na Ukimwi...4sure siwezi kukutenga....yaani natamanigi niwape hao watu company cn ila pole dada.
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)
Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.
Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.
Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.
Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.
Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+
Akitumia Dawa yangu atapona Eli79Apone?? As in apone upungufu wa kinga??
pole sana dada angu na nakupongea kwa hilo la kujitokeza pia nakukumbusha kuathirika sio mwisho wa maisha mimi NINA ndugu wa mama yangu kaupata 1990 na ukimuna huwezi kuamini chamsingi epuka kufanya sex bila kinga
na ukiwa na stress tumia alovera plus basi maisha yatakuwa swaaano