Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,656
baharia hachangamani na mashogamkitoka ubaharia mtashuka kwenye ushoga
Once a baharia always a baharia
baharia hachangamani na mashogamkitoka ubaharia mtashuka kwenye ushoga
hizo ndo sifa sahihi za bahariaWatz kwa kukuza misemo na kugeuza maana halisi tunaongoza duniani
Relax tangu uwe serious umefikia wapi?
huyu oni sigala yeye ni nani,awe makini asijaribu kupotosha maana sahihi ya ubaharia,taasisi yetu ya ubaharia ni taasisi kubwa yenye watu wenye nguvu na influence kubwa,awe makini tusije tukamgeuza na yeye kuwa baharia kama tafsiri yake inavyoelezaHaya sasa...View attachment 1204939
baharia haoi single motherBaharia hatumi ya kutoleaView attachment 1204950
hata na wewe unayecomment hapa ni wa ajabu piaTz ina watu wa ajabu sana. Kwa hiyo sasa hivi 'baharia' ndio gumzo la mjini. Wasomi, makanjanja wote wamo. Kana kwamba kuna jambo la muhimu sana linaloongelewa. Hii jamii yetu, kilichopo kichwani hakieleweki.
mpaka sasa vimejengwa viwanda vingapi na vimewasaidia nini watanzaniaViwanda hivyo
au viwanda cherehaniViwanda hivyo
baharia anakuwa busy na michongo yake, baharia hana shoboBaada ya fundi Maiko kuchanganya watu, naona baharia katake over....View attachment 1204871
Sisi mbaharia siku yetu imeisha hvi , [emoji16] hatuna shobo na mtu
Wapiga nyeto ni wengi mno ndo maanaMbona hapa umepata like kidogo sana
Pablo Blanco nipe mchongo wa meli Ulaya.Baharia wa kweli ni mtafutaji,baharia anaoa akiwa ana miaka 45 kwenda juu, baharia lazima awe ana wanawake wengi kama manabii na mitume wa zamani, baharia haoi single mother, baharia anapiga bao nne kwenda juu, baharia ni mwanaume aliyekamilika hapaki make up wala havai nguo za kubana kama wanawake, baharia hasikilizi nyimbo za mapenzi bongo flava au taarabu, baharia sio ben ten, baharia hamtegemei mwana mke amhudumie,baharia hali chips mayai
watu wamekuwa wakipotosha tafsiri sahihi ya baharia, mabaharia wote tuungane kupinga upotoshwaji huuView attachment 1204797
wewe ni baharia wa nchi kavu??Pablo Blanco nipe mchongo wa meli Ulaya.
Duu shenzi hicho chama chenu na jitoa kama hampigi mswaki wala kupika chapatiKupiga swaki!!! [emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Kumbee ubaharia uchafu mtupuMarufuku baharia kudeki chumba
Marufuku baharia kuvaa boksa moja mara moja baharia unatakiwa boksa moja uvae wiki 1 hadi 2
Marufuku baharia kujipaka mafuta,kujipuliza spray/perfume
Marufuku baharia kudeti na demu bila kumnyonya kwenye KINYEO
Umeona mkuu hauna positive yoyote usenge tu huo ubahariakAMA UBAHARIA NDIO UKO HIVYO BASI MIMI NAJITOA AISEEE
Hivi kama uko hivyo baharia siku umeoa mkeo anaumwa ama ni mjamzito mtaishi kweli?
ubaharia huu wakingese kinoma