Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Baharia wa kweli ni mtafutaji,baharia anaoa akiwa ana miaka 45 kwenda juu, baharia lazima awe ana wanawake wengi kama manabii na mitume wa zamani, baharia anapiga bao nne kwenda juu, baharia ni mwanaume aliyekamilika hapaki make up wala havai nguo za kubana kama wanawake, baharia hasikilizi nyimbo za mapenzi bongo flava au taarabu, baharia sio ben ten, baharia hamtegemei mwana mke amhudumie,baharia hali chips mayai

watu wamekuwa wakipotosha tafsiri sahihi ya baharia, mabaharia wote tuungane kupinga upotoshwaji huuView attachment 1204797
Naunga mkono hoja [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Baada ya fundi Maiko kuchanganya watu, naona baharia katake over....


Sisi mbaharia siku yetu imeisha hvi , 😁 hatuna shobo na mtu
 
Kamwe mtoto wa mama hawezi kua baharia
Wavaa vikuku wapaka poda
kila interview unafeli ubanda rizla shamba"hata ugoro basi" we mtu gani sasa
 
Baharia wa kweli ni mtafutaji,baharia anaoa akiwa ana miaka 45 kwenda juu, baharia lazima awe ana wanawake wengi kama manabii na mitume wa zamani, baharia anapiga bao nne kwenda juu, baharia ni mwanaume aliyekamilika hapaki make up wala havai nguo za kubana kama wanawake, baharia hasikilizi nyimbo za mapenzi bongo flava au taarabu, baharia sio ben ten, baharia hamtegemei mwana mke amhudumie,baharia hali chips mayai

watu wamekuwa wakipotosha tafsiri sahihi ya baharia, mabaharia wote tuungane kupinga upotoshwaji huuView attachment 1204797
mkitoka ubaharia mtashuka kwenye ushoga
 
Haya sasa...
IMG-20190910-WA0002.jpeg
 
Back
Top Bottom