Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,595
WatagMAharia mkuje msome comments za BAharia
Fanyeni juhudi muanzishe jumuiya yenu na isajiliwe
WatagMAharia mkuje msome comments za BAharia
Sawa MkuuWatag
Fanyeni juhudi muanzishe jumuiya yenu na isajiliwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Marufuku baharia kupiga nyeto
View attachment 1193964
Fika kwenye Ofisi zetu utapewa ufafanuzi
Ni marufuku baharia kulala uchi. Baharia unatakiwa ulale na nguo zisizopungua 13.
Ni marufuku Bavaria kuangalia tamfilia.
Ni marufuku baharia kutandika kitanda.
Ni marufuku baharia kula chipsi au kunywa Pepsi.
Ni marufuku baharia kushabikia Yanga au Arsenal.
Ni marufuku baharia kupayuka payuka ovyo.
Ni marufuku baharia KUHONGA bila kuwa na malengo.
Ni marufuku baharia kumwandikia demu maseji na kuanza na neno "samahani" au "sorry" huu ni udhaifu mkubwa.
Ni marufuku baharia kutumia neno "mambo" au kuitikia "poa"
Ni marufuku baharia daah....'
ONYO: baharia hurusiwi kula biriani la mahali popote!
Ingia ndani floor ya juuMkuu nipo hapa nje! Naona watu tu! Sikuoni Baharia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MAharia nini..MAharia mkuje msome comments za BAharia
MaMAharia ( wanawake)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MAharia nini..
Sakayo jitahidini muanzishe jumuiya kama hii na ofisiView attachment 1194098
Ofisi zetu zipo floor ya mwisho na baharia haruhusiwi kupanda ngazi au lift
Usiniulize utafikaje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kAMA UBAHARIA NDIO UKO HIVYO BASI MIMI NAJITOA AISEEE
Hivi kama uko hivyo baharia siku umeoa mkeo anaumwa ama ni mjamzito mtaishi kweli?
ubaharia huu wakingese kinoma
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Baharia mwenzenu nimekuja kujisomea comments tu