Nipo town 🍷
Pitia Le patio
Nipo town 🍷
Hahaha...Kaseja kacheza penalt ya kwanza, warundi wakapatwa na mawenge wakaanza kupiga nje [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
🏃🏃Pitia Le patio
Ukipelekwa kwa wakwe unatakiwa kumwomba baba mkwe nauli kwani waowaji ni wachache ivyo anatakiwa kulinda bahati ya bintieNyongeza
Kutotuma hela ya kutolea.
Kuzingatia kiwango cha kuhonga kisichozidi 30,000/=
wk end yangu leo imekuwa njema kusoma mbinu nyingi za kibahariaNafikiri kume kuwa na harakati nyingi sana za pimbi ila hawa ndio mabaharia wa ukwel kuokoana Ndio huku. [emoji1] [emoji116]View attachment 1201560
Swadaktaaaa. Iongezwe pale kwenye katibaUkipelekwa kwa wakwe unatakiwa kumwomba baba mkwe nauli kwani waowaji ni wachache ivyo anatakiwa kulinda bahati ya bintie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh aisee,ndiyo wanaovaa suluari chupa ila buti oversize?
Shoga hawezi pirika za kibahariaNNE
Hakuna baharia shoga au mwanamke?
Oooh vizuriHahha mimi sio baharia
Kweli kabisaWe unaonaje hiyo
Isee mtoto mzuriMabaharia ndio kama sisi mkuu
Nani kakudanganya? soma sheria vizuri, tunawapiga mikopo ya kufa mtu aisee.Baharia siyo wezi kwa mademu wao, hao ni maharamia kama wale wa Somalia.