Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

IMG_1237.JPG
 
Ni watu wenye akili na vitendo vya kitoto ila wanaishi kwa matumaini na kudhani ni ujasiri kuvifanya
 
Oohhh
Labda wanawake wa jamii inayomzunguka hawapitii hiyo changamoto, Depal umesema kwenu hamna mma, nani anayezunguka na madumu huko mtaani kutafuta maji kama sio mwanamke?!

Huo ni mfano tuu ili uelewe mada!
😂😂😂 back to my point. Sijaona Uzi wa mtoa mada ndio maana sielewi hata nachangia nini.
capitalpool umeniacha njia panda ya kijenge sielewi niende moshono, njiro, Philips au nirudi town
 
Vipi mbona kama umeyasema sasa mkuu??
Kikawaida mimi huwa sibebwi na mawimbi ya vimisemo vya ajabu ajabu vya msimu...huwezi nikuta natumia hii misemo kwenye mdomo wangu..
Sijui....KAMA LOTE....WATAPATA TABU SANA...etc
Na sasa naona kila mahalî BAHARIA...
 
Back
Top Bottom