stevewritter
Member
- Sep 6, 2019
- 35
- 31
😂😂😂Nafikiri kume kuwa na harakati nyingi sana za pimbi ila hawa ndio mabaharia wa ukwel kuokoana Ndio huku. [emoji1] [emoji116]View attachment 1201560
😂😂😂Nafikiri kume kuwa na harakati nyingi sana za pimbi ila hawa ndio mabaharia wa ukwel kuokoana Ndio huku. [emoji1] [emoji116]View attachment 1201560
Baharia ni kama unavyoniona kwenye avatar yangu nilijaribu kuzama uvinza nikaishia kuumuka domo kama mnavyoniona hapo
Mimi situmii hiyo kitu mkuuAu nikupe pande wewe?
Baharia ni yule anayemuachia demu nauli ya Dsm to Mwanza 7800/=
Kumbee...msemo tu umepanda chati wiki hizi
mwanaume mkali wa warembo..player....
Mimi pia nmehisi hivyonahisi akioga ajipake mkuu
Hahaaa kilainishi hichoo....ukiona kajikuna sikio tu ujue mtu anatafunwa jicho.
Basi uwe unawaita sailor's.Neno mabaharia lipigwe marufuku binafsi silipendi
Neno mabaharia lipigwe marufuku binafsi silipendi
Kumbe wenye akili bado mpo humu.Mnafeli wapi ule mkakati wenu wa 7800