themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,836
- 2,925
Mnasalimiwa
Nawe utakuwa miongoni mwaoTafuta hiki kitabuView attachment 1201865
Have a nice night too!Thanks my queen to love, what i love and i promise, we will be forever...I try harder to love what you love in order to persist our loveness. Have a nice night my lady? The lady of my heart...
Hicho ni kilainishiHiyo ni nini mkuu
Na wewe ni baharia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wew kweli baharia
Hahahaaa mabaharia.....Sifa kuu ya MTU baharia ni kujihusisha na michongo yake bila kuwabughuzi wengine. Hii ya kwanza nyenye busara
Pili mabaharia mwiko kula mke wa MTU zaidi ya Malaya tena na kilainishi.
Tatu ,baharia wengi mabachela kwao hata mlo mmoja safi.
NNE, mabaharia wengi club za starehe wanaenda na buku 3 , wanarudi wamelewa chakari.
Tano, mabaharia ndo wale waliochomoa betri morogoro.
Naona nyuzi nyiingi za kujinasibisha / kunasibishana na HILI NENO "baharia"
Ebu enyi mabaharia njooni mnipe elimu juu ya hii kauli. Nyingi ni watu wa Aina gani ama ni watu wenye Tabia gani?.
Huenda nami nikawemo.!!
UZI TAYARI
Hahahaaa mabaharia
Duuh aisee,ndiyo wanaovaa suluari chupa ila buti oversize?.....Sifa kuu ya MTU baharia ni kujihusisha na michongo yake bila kuwabughuzi wengine. Hii ya kwanza nyenye busara
Pili mabaharia mwiko kula mke wa MTU zaidi ya Malaya tena na kilainishi.
Tatu ,baharia wengi mabachela kwao hata mlo mmoja safi.
NNE, mabaharia wengi club za starehe wanaenda na buku 3 , wanarudi wamelewa chakari.
Tano, mabaharia ndo wale waliochomoa betri morogoro.