pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 7,787
- 9,401
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukichagua jua wewe sio baharia, sauti inatoshaa?!!
Baharia haweki haweki ovyo selection muhimu kwa baharia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukichagua jua wewe sio baharia, sauti inatoshaa?!!
Kabisa kabisa, ingawa naona kuna harakati unaziendeleza za chini chini japo hawakuelewi ila usichoke my queen mana kuna watu wanateseka sana na hilo hadi ku publish tena kwa msisitizo uone ukubwa wa tatizo.Mhenga wangu mimi
Wewe umeelewa eeeh
Atakuwa alitumia passport ya Diplomat ambayo mke haijui [emoji28][emoji28][emoji38]
Umeamua kumfunga paka kengere,Huu uzi ushamalizika
Tushikamane tuu kwa kweli
Ongeza sauti mkuuNakazia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baharia haweki haweki ovyo selection muhimu kwa baharia
Mwandiko wa kibaharia huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asa ndo umeandika ninii
Usijali kabisaa my KingKabisa kabisa, ingawa naona kuna harakati unaziendeleza za chini chini japo hawakuelewi ila usichoke my queen mana kuna watu wanateseka sana na hilo hadi ku publish tena kwa msisitizo uone ukubwa wa tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeamua kumfunga paka kengere,
Mimi Ni mnadhimu wa kambi kongwe ya antisocial iliyoasisiwa kabla ya hii kambi pepo ya mabaharia
Afadhali naomba uwasaidie maana ya baharia maana naona wana li miss use hilo nenoBaharia hachagui mwanamke..
Mnakwama wapi eti