Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Hatuhusiki Na Boat Hizo Mkuu Tunashughurika Na Meli Kubwa Kubwa Za Nchi Kavu
 
Nimepata taarifa zisizo rasimi kwamba Kuna boti imezama maeneo ya usawa wa Kimbiji Dsm vipi hiyo taarifa ni kweli? Au nyie ni mabaria wa kuchakata papuchi tu?
Tafuta hela ili wanao wasije kujiita mabaharia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] back to my point. Sijaona Uzi wa mtoa mada ndio maana sielewi hata nachangia nini.
capitalpool umeniacha njia panda ya kijenge sielewi niende moshono, njiro, Philips au nirudi town
Nenda moshono niko kipande hiyo nitakuelewesha ukinikuta
 
Singo mama 5000
Wengine tutapima ukubwa wa kitumbua
 
Huyo akikenua meno tu kesho unamwambia njoo geto usilembe baharia bahari mbona ipo shwari tu
 
Kanisani ndo kuna ufunuo was mambo haya...usifanye watu wakashinda makanisani ili wafunuliwe umbea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa namshauri aanze na Mungu bahati mbayaaa sana kwao hamna maji ndo maana haelewiii mpaka saivi
 
Back
Top Bottom