Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,059
- 15,529
Hawa jamaa wanaojiita mabaharia wamekuwa na Mbinu nyingi sana kufanikisha mambo yao kwa namna rahisi. Hii nimeikuta sehemu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahaaaaa duuuu eeee Mungu we mbinguni tunusuru twafwaSingle maza wengi huwa ukimpenda mtoto wake na uncle nae ukifanikiwa kumteka akiwa anakuulizia kwa mama jua japo umebaki wewe kuchomoa betri tu Lori limeshadondoka ....kitambooo
Hiyo ni nini mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dah
Nyie wazee hivi mabahariaHizi ni baadhi ya picha za mabaharia wakiwa kwenye kikao cha mwisho wa mwaka huko Uswisi![]()
Ya kazi gani mkuuMafuta boss
Ya kazi gani mkuu
Hii kitu kiukweli ili nishinda mfano mtu kutumia jina Jiwe, najiona wa ajabu sana, Magufuli sikubaliani nae kwenye baadhi ya mambo lakini huwezi kunikuta namwita eti JiweKikawaida mimi huwa sibebwi na mawimbi ya vimisemo vya ajabu ajabu vya msimu...huwezi nikuta natumia hii misemo kwenye mdomo wangu..
Sijui....KAMA LOTE....WATAPATA TABU SANA...etc
Na sasa naona kila mahalî BAHARIA...
Wengine wamepaki wapi?Nimeamka nakutana na msiba huo
Wanaume tumepaki wachache sanaView attachment 1201509
Hahaaa kilainishi hichoo....ukiona kajikuna sikio tu ujue mtu anatafunwa jicho.