Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Sahihi kabisa! Na hii 7800 awe ametoka MKOANI... just like perdiem yake!
Tunashkuru Kwa taarifa ila kumbuka tunatakiwa tuwape 7800 kama tulivyoidhinisha kweny kikao

Na cha msingi ni muhimu tuwe na masweta yalioshonewa Neno Tanzania kweny kifua geto ya kuwapa Kama zawadi hio ni ishara ya uzalendo
 
tupe mkasa huo
Daaaaa baharia hii mikasa (maana ninayo zaidi ya mmoja) kimsingj inahitaji uzi wake wa kujitegemea baharia!
Ila kifupi, mm hawa single mazas ndio huwa mapigo yangu, si wasumbufu na huwa wana adabu, akikuachia huwa anakuachia cha ela yote baharia maana huwa anakuona ww kama mtetezi wake kihisia na kimahusiano!
We penda na kuwajali mtoto/watoto wake tu baharia.........ukifanya hivyo matunda utayaona!
Cha mwisho, single mazas huwa ni watamu sana baharia!
 
Mabahari hatushindwi jambo , na hatukamatiki , hatuna mshipa wa woga , liwe la hatari au vyovyote vile.

Baharia mmoja Dodoma kamtia mimba shemeji yake halafu akamwambia mkewe. Kwakuwa mkewe nae ni baharia kachukulia poa sana. Wanalea watoto kiroho sana.

Wewe ni baharia ? Una ubaharia gani?
Huyu sio mwana baharia mahiri, sharia numba 13 ya wana baharia inakatazwa mwana baharia yoyote kukubari vitu kama hivyo kirahisi rahisi unakataa mpaka tone la mwisho lako la damu......
 
Oohhh
Labda wanawake wa jamii inayomzunguka hawapitii hiyo changamoto, Depal umesema kwenu hamna mma, nani anayezunguka na madumu huko mtaani kutafuta maji kama sio mwanamke?!

Huo ni mfano tuu ili uelewe mada!
Hahaha,
Hapo ndo umemuacha kaskazi wakati yeye yupo kusi..!!
 
Duuh!!! Isee
Baharia popote alipo lazima anajijua yeye ni baharia, haihitaji mpaka aelezwe sifa au vigezo vya ubaharia.
mimi siku ya kwanza nakutana na neno baharia, niliviona vigezo vyote vya kuitwa baharia ninavyo.
Mfano vigezo moja wapo vya ubaharia.
1- baharia kama baharia lazima uwe mzama uvinza
 
Halafu kuna watu nasikia wanajiita WAJUBA hawa mnawachukuliaje??
 
Hii sijaipenda mabaharia wenzangu.
IMG-20190905-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom