Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Mabahari hatushindwi jambo , na hatukamatiki , hatuna mshipa wa woga , liwe la hatari au vyovyote vile.

Baharia mmoja Dodoma kamtia mimba shemeji yake halafu akamwambia mkewe. Kwakuwa mkewe nae ni baharia kachukulia poa sana. Wanalea watoto kiroho sana.

Wewe ni baharia ? Una ubaharia gani?
 
Kama na ww uliyeandika huu Uzi unajiita baharia basi kikao cha kufungia mwaka cha mabaharia kinatakiwa kikujadiri uanachama wako... Hizi habari za kimbeya Sana mabaharia hawafanyi hivi
 
Single maza wengi huwa ukimpenda mtoto wake na uncle nae ukifanikiwa kumteka akiwa anakuulizia kwa mama jua japo umebaki wewe kuchomoa betri tu Lori limeshadondoka ....kitambooo
Daaaa hapo baharia mwenzangu nakumanya kinoma aiseee, yaani ukishamteka uncle, basi kwa mama ushamaliza, kila saa utakuwa unatafutwa kuambiwa kuwa uncle anakuulizia au anakusalimia lkn kumbe ilhali na yeye ushamuingia akilini, ukitekenya tu basi lazima atavua, unachomoa betri tu baharia!
Hii nina uzoefu nayo kwa mwaka wa saba sasa!
 
Hilo mbona dogo Sana kwa mabaharia. Kuna baharia mmoja yeye na mkewe wanaombana ushauri jinsi ya kuishi na michepuko yao.
Juzi Kati baharia huyo amempa simu mkewe aongee na mchepuko wake wa mbezi ili amwelekeze huyo mchepuko akitaka kumkoleza mumewe afanyeje fanyeje.
 
Daaaa hapo baharia mwenzangu nakumanya kinoma aiseee, yaani ukishamteka uncle, basi kwa mama ushamaliza, kila saa utakuwa unatafutwa kuambiwa kuwa uncle anakuulizia au anakusalimia lkn kumbe ilhali na yeye ushamuingia akilini, ukitekenya tu basi lazima atavua, unachomoa betri tu baharia!
Hii nina uzoefu nayo kwa mwaka wa saba sasa!
tupe mkasa huo
 
Back
Top Bottom