Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Nami nina kitambi flani cha kurithi,niliingia Bar flani...mademu kama wote wanajipendekeza,mfukoni nina elfu kumi na mbili tu,nia yangu niagize msosi hata wa elfu mbili then nisepe,maana hali yangu naijua mwenyewe,naingia tu,kila mtu ananiita Boss,nikasema nyie kenge mngejua shida zangu mngenikimbia...
 
Tunashkuru Kwa taarifa ila kumbuka tunatakiwa tuwape 7800 kama tulivyoidhinisha kweny kikao

Na cha msingi ni muhimu tuwe na masweta yalioshonewa Neno Tanzania kweny kifua geto ya kuwapa Kama zawadi hio ni ishara ya uzalendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo sauti yako haijatosha. Baharia HASWA inampasa aitwe mzama uvinza, hapo ndipo ubaharia unakuwa sauti inatosha.
Tofauti na hapo unakuwa ni baharia wa cheo cha kawaida kabisa katika mabaharia.
 
Hahaahhaahhahaahahah we jamaaa katili sana yaani "Chama" hizi hizi? Alooo Kuna wanaume mnatakiwa kulipukiwa na tank la mafuta
Single maza wengi huwa ukimpenda mtoto wake na uncle nae ukifanikiwa kumteka akiwa anakuulizia kwa mama jua japo umebaki wewe kuchomoa betri tu Lori limeshadondoka ....kitambooo
 
Kama upo Mjini na wenzako hawakuiti mojawapo kati ya Majina haya aisee rudi Kijijini ukaanze Upya:

Kiongozi
Kamanda
Komred
Mkuu
Boss
Tajiri
Mwamba
Taita
Mtaalam
Mpiganaji
Mpambanaji
Muwezeshaji
Mshua
[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787
]​

Nadhani sauti iko vizuri[emoji344]

Huku mwisho badobado hujaskika amor

Cc Kingsmann
 
Single maza wengi huwa ukimpenda mtoto wake na uncle nae ukifanikiwa kumteka akiwa anakuulizia kwa mama jua japo umebaki wewe kuchomoa betri tu Lori limeshadondoka ....kitambooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah naitwa..... Mlevi mmoja
Ngoja niishie hapo ila kijijini sirudi
 
Kifaru
Tembo
Kama upo Mjini na wenzako hawakuiti mojawapo kati ya Majina haya aisee rudi Kijijini ukaanze Upya:

Kiongozi
Kamanda
Komred
Mkuu
Boss
Tajiri
Mwamba
Taita
Mtaalam
Mpiganaji
Mpambanaji
Muwezeshaji
Mshua
[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787
]​

Nadhani sauti iko vizuri[emoji344]
 
Back
Top Bottom