MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 1,420
- 1,953
mtoa mada atakusaidia maana anaelimu ya hao viumbe..Hiki ni kilio changu cha miaka mingi saaaaana. Natamani nipate pisi ya kijini.
mtoa mada atakusaidia maana anaelimu ya hao viumbe..Hiki ni kilio changu cha miaka mingi saaaaana. Natamani nipate pisi ya kijini.
Uislamu umekuja kuwaelezea..... Shida ya waafrica ukiwaelezea mambo meli watakwambia wewe ni nihodha au baharia na apo ndo wanapopigwa..Na majini wakaamua makazi yao rasmi yawe kwa Islamic 😎
Mzee upo sahihi kabisa ,wengi hili hawajui, Malaika kazi Yao ni kututumikia Sisi ,Sisi ni level ya juu kuliko waoKi mamlaka ya Utawala baada ya Mungu Mwenyezi anafuata Binadamu:
Halafu anafuata Malaika:
Ila Wanadamu wengi wanashindwa kutumia mamlaka Yao (kwa kukosa Elimu sahihi) mpaka wanaamrishwa na Vinyamkera, Majini, Mizimu na vitakataka vingine
NdiyoKwahiyo unataka kusema viongozi wakuu w dini wana elimu kubwa ya kuhusu hawa majini?
Majini yamekuwa waislam kwasababu ya mtume.
Mtume anawaamini mitume iliyopita kwa hoja ya tawhidi.
Je . Huko nyuma majini nao walikuwa wana waamini ile mitume mingne kwa sababu ya tawhidi?.
Kila binadamu amezaliwa muislam. Na je majini nao kila jini akizaliwa ni Muislam?.
Pole sana wewe unaamini Mungu au Miungu?Uislamu ni laana, ukiwa mwislamu umelaaniwa.
Aliyekwambia Waisilamu si wacha Mungu nani? Unaswali swala tano unafunga unatoa zaka unahiji makka kama unauwezo hautendi dhambi kama Mungu alivyokutaza hiyo tu ni neemaSasa mbona waislamu wa kibinaadamu wote sio wachamungu inakuaje majini ili wawe wazuri ni lazima wawe wachamungu?
Hata tukikupa ushahidi huwezi kuaminiUongo labda yawe yale ya kuundwa macheketu ,
Hujui lolote kuhusu majini unaongepea watu tu hapa na unayo yaongea yote umemezeshwa kupitia Imani Yako uliyo nayo ya uislam ila kiuhalisia majini they're so powerful more than ulivyo karilishwa narudia Tena kukuambia Majini/mizimu sio kitu Cha mchezo mchezo na hakuna jini mzuri wote ni changamoto
Ndiyo inayowafanya wasiwaogope majini,tofauti ma wewe usiyekuwa na elimuKwahiyo unataka kusema viongozi wakuu w dini wana elimu kubwa ya kuhusu hawa majini?
Yaani ulivyo wewe katika kundi la binadamu na ndivyo majini walivyo,wako washika dini na wapo washenziKwahiyo majini nao Wana dini
Usiwadanganye watu majini waliposikia Quruani na kufwata mafundisho ya Mtume muhammadi ndipo wakamrudia Mwenyezi Mungu huko nyuma hakuwa hivyoMajini ndio wenye dini
Hata huyo malaika wanayesema sijui jibril kamfuata mtume na kumtaka awe mtume , Hiyo imefichwa tu sio kweli ,
The so called mitume yote duniani wanafuatwa na mizimu Yao ya ukoo ya Taifa au nchi na kuwashurutisha wakubali kuwa ma- prophecy , ila Sasa hawezi kusema kwamba wanafuatwa na mizimu/ Majini , so wakija mbele ya jamii wana rahisha lugha ili wapate kusikilizwa na watu na kuaminika ndio wanatumia jina la mungu
Ukishasema mtoto wa Mungu unaharibu kila kituMzee upo sahihi kabisa ,wengi hili hawajui, Malaika kazi Yao ni kututumikia Sisi ,Sisi ni level ya juu kuliko wao
Mwanadamu alipoasi ,Mungu alituma mwanae ,Malaika walipoasi walipotea
Kuna Aya biblia bhana ,ilibidi watafsiri waogope maana inaonesha Baada ya Mungu anafata mwanadamu ,ila wao akili zao wanahisi anafata Malaika😂
Angalia hapa kitabu cha waebrania 2:6-7 ,Waandishi wakaogopa kuweka neno Mungu wanatumia neno MALAIKA, sasa Rudi kwenye Aya yenyewe inatoka kitabu cha Zaburi inavyosema
Waebrania 2
6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?
7 Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji ya utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;
Kwenye Zaburi inasema 👇
Zaburi 8
4 Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?
5 Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima;
6 Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.
7 Kondoo, na ng'ombe wote pia; Naam, na wanyama wa kondeni;
8 Ndege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.
Ukisoma Utagundua Malaika ni watumishi ambao tunatakiwa kuwaamlisha ,Sisi tumepewa nguvu ambayo hatujui kuitumia
Kwahiyo upo sahihi na hiki kitu Shetani hataki binadamu ajue mamlaka yake
Baada ya MUNGU ANAFATA MWANADAMU KISHA MALAIKA
nakupa na hii ,Unajua baaada ya kwenda mbinguni ,tutarudi kukaa hapa duniani sababu Kule mbinguni hapawezi kuwepo watawala wawili?
Hii dunia ikishapigwa moto ,Yesu anasema naumba mbingu mpya na Dunia mpya ,
Tutarudi hapa
Sio Mimi ni maandikoUkishasema mtoto wa Mungu unaharibu kila kitu
Mizimu ni Majini yanayo uchukua Ukoo Fulani ili waabudiwe na huo Ukoo:Mkuu mbona mizimu huitaji na hawana dini? Au mizimu sio majini?
Sahihi kabisaMzee upo sahihi kabisa ,wengi hili hawajui, Malaika kazi Yao ni kututumikia Sisi ,Sisi ni level ya juu kuliko wao
Mwanadamu alipoasi ,Mungu alituma mwanae ,Malaika walipoasi walipotea
Kuna Aya biblia bhana ,ilibidi watafsiri waogope maana inaonesha Baada ya Mungu anafata mwanadamu ,ila wao akili zao wanahisi anafata Malaika😂
Angalia hapa kitabu cha waebrania 2:6-7 ,Waandishi wakaogopa kuweka neno Mungu wanatumia neno MALAIKA, sasa Rudi kwenye Aya yenyewe inatoka kitabu cha Zaburi inavyosema
Waebrania 2
6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?
7 Umemfanya mdogo punde kuliko malaika, Umemvika taji ya utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;
Kwenye Zaburi inasema 👇
Zaburi 8
4 Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?
5 Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima;
6 Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.
7 Kondoo, na ng'ombe wote pia; Naam, na wanyama wa kondeni;
8 Ndege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.
Ukisoma Utagundua Malaika ni watumishi ambao tunatakiwa kuwaamlisha ,Sisi tumepewa nguvu ambayo hatujui kuitumia
Kwahiyo upo sahihi na hiki kitu Shetani hataki binadamu ajue mamlaka yake
Baada ya MUNGU ANAFATA MWANADAMU KISHA MALAIKA
nakupa na hii ,Unajua baaada ya kwenda mbinguni ,tutarudi kukaa hapa duniani sababu Kule mbinguni hapawezi kuwepo watawala wawili?
Hii dunia ikishapigwa moto ,Yesu anasema naumba mbingu mpya na Dunia mpya ,
Tutarudi hapa
Unataka kusema Majini toka yaumbwe yalisubiri Hadi Muhamadi azaliwe ndio ayasilimishe?Usiwadanganye watu majini waliposikia Quruani na kufwata mafundisho ya Mtume muhammadi ndipo wakamrudia Mwenyezi Mungu huko nyuma hakuwa hivyo
Unataka kuniingiza kwenye mtego wa kubishana kuhusu Mungu.Jibu swali.
Una amini Mungu yupo?
Bado hujanijibu swali langu.Unataka kuniingiza kwenye mtego wa kubishana kuhusu Mungu.
Kwa sababu ya kuheshimu imani za watu, huwa ninakwepa mitego kama yako.
Masharti yapo ,ukiyazingatia utakuwa mtu mkubwa sana kinyume na hapo jiandae kuishi kwa tabukuna masharti tofauti na matunzo tu.
Ingekuwa hivyo basi masheikh wangekuwa wajuzi kwenye kusaidia watu matatizo ya majini.Ndiyo