Huwezi kupambana na jini Mzee trust me
Maybe awe anatoka Out of bloodlines na ukitokea ukafanikiwa kumshinda lazima akuachie balaa zito
Mfano kukosa uzazi , kuwa fukara , maskini wa kutupa , kukosa kazi ilhali una potential maradhi , and maradhi mpaka kifo kutoishi na mume au mke yaani hukai na wanawake au kama ni ke hukai na wanaume Kila wakati unaachika au huolewi kabisa
Ni rahisi kumshinda jini yule ambaye imetokea ametamani tu kukutawala bila ya kuwa na connection yoyote ile na wewe yaki- genetics , so hao wa hivyo Huwa hawasumbui sana , ila akisja kuwa anatokea kwenye ukoo hapo shughuli unayo ukishindana nae basi jiandae kuwa fukara wa kutupwa au kufikwa na mikosi yote mizito na mambo yenye mfano na hayo