Historia ya Majini

Historia ya Majini

Huyo Sasa amekukumba tu hakuwa na lengo na wewe la kudumu

Umeshawahi kukutana na mtu ambaye majini / mizimu ya kwao inamtaka Awe chief wa ukoo wao !?

Umeshawahi kukutana na Hilo balaa tuanzie hapo kwanza
Hayo nayajua mkuu na najua balaa lao sio la mchezo.
 
Ki mamlaka ya Utawala baada ya Mungu Mwenyezi anafuata Binadamu:
Halafu anafuata Malaika:
Ila Wanadamu wengi wanashindwa kutumia mamlaka Yao (kwa kukosa Elimu sahihi) mpaka wanaamrishwa na Vinyamkera, Majini, Mizimu na vitakataka vingine
 
Mzee Unaujua mzimu vizuri kwanza !? Acha masihara basiii 😁😁🙌

Kwamba unaudhibiti ili utoke au !?
Elimu pana mkuu, mizimu haitolewi ila unaweza kuifunga isiendelee kukusumbua maana kwenye mizimu husemwa huwa kuna misafi na michafu kuna wakati mzimu unaweza ukawa unataka uwe mchawi au inatumika na wachawi kuja kukusumbua hivyo unaweza ukaufunga mzimu huo. Hili siongei kama kitu nilichosikia bali nimekishuhudia kabisa.
 
Elimu pana mkuu, mizimu haitolewi ila unaweza kuifunga isiendelee kukusumbua maana kwenye mizimu husemwa huwa kuna misafi na michafu kuna wakati mzimu unaweza ukawa unataka uwe mchawi au inatumika na wachawi kuja kukusumbua hivyo unaweza ukaufunga mzimu huo. Hili siongei kama kitu nilichosikia bali nimekishuhudia kabisa.
Outcomes zikoje !?

Maana kuwafunga inawezekana but ndio jiandae kuwa masikini wa kudumu , nimewahi kuliona Hilo pia Kwa baadhi ya watu wangu wa karibu
 
Ukiuwacha Uislamu kwa sharia za Kiislamu unatakiwa uuliwe:
Yaani Waislamu wakuuwe:
Ndio maana Kuna watu katika nchi za Kiislamu wanakuwa Waislamu kwa lazima au kwa hofu ya kuuliwa tu:
La sivyo wangekuwa wasioamini Dini (Atheist) au wa Dini nyingine kama uhindu, ubudha, urastafarian nk.
Sasa mbona kuna mizimu ambao ni majini na sio waislamu?
 
Majini ndo nini?
unaongelea vitu ambavyo hata wewe mwenyewe hujawahi kuviona
hata ukiambiwa udhibitishe huwezi
unaamini katika hakuna!
 
Kama mimi ndio sijui kabisaa, hebu nielezee ayatumikie kufanya nini? Naona wamemzungusha kila kona ya Tz ila hajasaidika yupo tu hajielewi kwakweli
Kwani anaambiwa nini huko anakozunguka?
 
Outcomes zikoje !?

Maana kuwafunga inawezekana but ndio jiandae kuwa masikini wa kudumu , nimewahi kuliona Hilo pia Kwa baadhi ya watu wangu wa karibu
Ndio maana nikasema kuna mizimu misafi na michafu, unaweza ukatenganisha michafu na ukabaki na misafi na hakuna shida. Na watu wengi wanasumbuliwa na mizimu michafu ndio maana unakuta wanatibiwa ila hakuna kitu sababu sio waganga wengi wenye kujua kushughulikia hayo mambo hadi upate mganga wa mizimu mwenye kujua hayo mambo.

Wewe itakuwa unakusudia ile kujitoa kama ilimtaka mtu awe labda chief au aliingia makubaliano fulani na mizimu hapo ndio sasa lazima kuna misukosuko itokee kifupi sio suala dogo.
 
Hakuna la maana zaidi ya kumjaza chale kila eneo, hapa nimesikia wanampango wa kumpeleka zanzibar akapewe kisomo na mashekh, wakati miaka yote anakqa kwa mganga na hana maendeleo yoyote!
Yani wanamwambia ni kipi ndio chenye kumsumbua ? Maana shida iliyopo ni kutoa ni mtaalamu gani sahihi kwa aina ya tatizo lako sio kila mganga ataweza kutibu tatizo ulilonalo.
 
Yani wanamwambia ni kipi ndio chenye kumsumbua ? Maana shida iliyopo ni kutoa ni mtaalamu gani sahihi kwa aina ya tatizo lako sio kila mganga ataweza kutibu tatizo ulilonalo.
Hawaelewi zaidi ya kutoa tiba tu, wanahisi majini na waganga wengi ni waongo kama waliona tatizo mbona walimpa tiba isio sahihi..
 
Hawaelewi zaidi ya kutoa tiba tu, wanahisi majini na waganga wengi ni waongo kama waliona tatizo mbona walimpa tiba isio sahihi..
Duh! Yani kuangaika kote na bado mgonjwa hajajua ni nini hasa ndio kinamsumbua. Cha kwanza ijulikane anasumbuliwa na nini na hapo ndio itajulikana anasaidika vp na wapi.
 
Duh! Yani kuangaika kote na bado mgonjwa hajajua ni nini hasa ndio kinamsumbua. Cha kwanza ijulikane anasumbuliwa na nini na hapo ndio itajulikana anasaidika vp na wapi.
Hata pa kujua hapajapatikana tu kwaio ni kama haijapiga hatua yoyote ile
 
Back
Top Bottom