UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,819
- 9,169
Hayo nayajua mkuu na najua balaa lao sio la mchezo.Huyo Sasa amekukumba tu hakuwa na lengo na wewe la kudumu
Umeshawahi kukutana na mtu ambaye majini / mizimu ya kwao inamtaka Awe chief wa ukoo wao !?
Umeshawahi kukutana na Hilo balaa tuanzie hapo kwanza