Historia ya Majini

Historia ya Majini

Ndiyo ukweli wenyewe yaani nao walidanganywa na mashetani kama tulivyodanganywa kabla ya kuja Mtume Muhammad (S.A.w)kama Mwenyezi Mungu ana mtoto au Mungu alikuwa na msaidizi lakini nao wakaongoka kupitia Quruani wakasamehe wanashika ibada kama Waisilamu tunaswali nao misikitini na kufunga na kuhiji Makka
Sasa mbona waislamu wa kibinaadamu wote sio wachamungu inakuaje majini ili wawe wazuri ni lazima wawe wachamungu?
 
Ushawahi kusikia kuhusu Lucid dreaming? Kwanini usijaribu hiyo njia maana utaweza ku experience chochote kile unachotaka kwenye ndoto yani vile unavyotaka ndio inavyotokea bila mipaka hata ukimtaka mwanamke yeyote yule.
Mara ya mwisho kuita ndoto yeyite tu nimesahau. Siku hzi hata ndoto za kutusha tu sizipati.
 
Uongo 😄😁

Mnadanganya sana huko masjid na vijiweni kmmk. 🙌
 
Nitumie jini moja kama unalo wewe mwenye akili.

Think out of the box.

Story za majini asili yake ni middle east. Sehemu nyingine za dunia hawakuwa na uzushi huo.

Watu wanaofikiriwa kuwa na majini huwa ni wagonjwa wa afya ya akili wakiwemo wenye Dissociative identity disorder (jaribu kusoma kuhusu hii) na hata wenye dissociative fugue. Matibabu yake yanaweza kufanyika kwa kuhusisha hypnosis na exorcism
😁😁
 
Kuna mtu namjua yamemfanya kiziwi na haongei labda aongee mwenyewe mwaka wa 10 huu na ni binti yamemuachisha na shule halafu mtu anasema ni fikra zetu tu hivi wengine mnaishi mitaa ipi haya hayawapati na sisi tuje🙄
Nimecheka Sana kmmk 😁😁
 
Kuna mtu namjua yamemfanya kiziwi na haongei labda aongee mwenyewe mwaka wa 10 huu na ni binti yamemuachisha na shule halafu mtu anasema ni fikra zetu tu hivi wengine mnaishi mitaa ipi haya hayawapati na sisi tuje🙄
Hao wote humu wanaongea vitu wasivyo vijua na ni kwakuwa wame aminishwa au kufundishwa tofauti na watu walio wafundisha hawana taarifa sahihi kuhusu majini ,

But all in all Majini yapo na sio kitu Cha mchezo hakuna binaadamu mwenye uwezo wa kushindana na jini hata siku Moja ni intelligence creature kuwahi kuexist duniani Aisee it's more than scary

Wewe sikia hivyo hivyo tu
 
Hao wote humu wanaongea vitu wasivyo vijua na ni kwakuwa wame aminishwa au kufundishwa tofauti na watu walio wafundisha hawana taarifa sahihi kuhusu majini ,

But all in all Majini yapo na sio kitu Cha mchezo hakuna binaadamu mwenye uwezo wa kushindana na jini hata siku Moja ni intelligence creature kuwahi kuexist duniani Aisee it's more than scary

Wewe sikia hivyo hivyo tu
Sio kwamba majini wengine ni wa kawaida tu au wote sio wa kuwachezea?
 
Kama kuna mizimu(majini) na mambo yao ni tofauti na dini basi kutakuwepo majini wengine ambao wana dini mbalimbali, maana kama binaadamu wanafuata dini tofauti tofauti sioni kwanini majini nao wasiwe hivyo pia.
Majini ndio waasisi waimani zote duniani SEMA huo ukweli unafichwa

Ila Imani zote zimeundwa na majini na watu wanaofanya ibada katika hizo Imani wanafanya ibada kuwaabudu majini na mizimu lakini hawajui ni mambo ambayo yamefichwa
 
Back
Top Bottom