Historia ya Majini

Historia ya Majini

kuna Malaika na Majini,sifa ya ushetani anayo jini aliyemuasi Mungu,vilevile kuna majini wema kabisa wanaogopa dhambi na wanaswali,na binadamu yeyote yule mfano aliyeamuru watu wauwawe tarehe 29 octobar anaingia kwenye sifa ya Ushetani, inamana kiumbe yeyote anayetenda dhambi awe binadamu au jini huwa anaitwa shetani,sijui unanielewa?
Labda niseme binadamu ndiye mwenye roho mbaya kuliko hata majini iwe kwa kufanya vitu gizani au kwa kuonekana,mgekuwa mna elimu ya uchawi mngejua,hebu imejini mtoto aliyezariwa vizuri analogwa na kuwa zezeta maisha yake yote hata kama ataishi miaka 60,au angalia vichaa bado wanaochukuliwa misukule huyu anayofanya yote ni binadamu
 
Labda niseme binadamu ndiye mwenye roho mbaya kuliko hata majini iwe kwa kufanya vitu gizani au kwa kuonekana,mgekuwa mna elimu ya uchawi mngejua,hebu imejini mtoto aliyezariwa vizuri analogwa na kuwa zezeta maisha yake yote hata kama ataishi miaka 60,au angalia vichaa bado wanaochukuliwa misukule huyu anayofanya yote ni binadamu
BINADAMU HAWEZI KUFANYA UCHAWI BILA KUSAIDIWA NA MAJINI
majini ndiyo yaliyowafindisha binadamu ELIMU ZA SAYANSI,UCHAWI,SILAHA ZA VITA na teknolojia.
 
BINADAMU WOTE KIASILI NI WAJA wa mwenyezi Mungu ..wameumbwa kwa moyo wa kumfanyia MUNGU IBADA ya kweli ...wooote kila binadamu wote..lakini SHETANI NA MAJINI wakishirikiana na watu waliofundishwa uchawi na majini..na kuondolewa ROHO ya UBINADAMU na wengine ni watoto wa MAJINI NA WANADAMU nusu jini nusu mtu..na wengine ni majini kabisa yapo pia MANEFELI yanaishi humu duniani tunaishi nayo siyo marefu kama zamani ni watu kaama mimi na wewe ,wapo kwenye siasa,michezo ,burudani,sanaa,viongozi wa dini,siasa..masokoni,mashuleni..sio binadamu
NDIO WANAOBUNI MABAYA kufanikisha agenda za kuzimu.

NA KUWAFANYA BINADAMU wa kweli wasifanye ibada kwa MUNGU WA KWELI YESU KRISTO***JEHOVANISI**ROHO MTAKATIFU
 
umesoma ILIMU GANI je umesoma ELIMU YA MAARIFA ...FALAKI...inasemaje..kuhusu ELIMU YA MAUMBO.??
Wanaoifahamu ilimu ukiacha maamuma wasio na ilimu ya mnyaazi...wanajua ukweli..ila WANAFANYA SIRI..wanaficha ficha na uongo ..ila ukweli wanaujua..wanabaki kuita tu wenzao MAKAFIRI.
Halafu huku WANAFUGA MAJINI.

yani JINI unamuona ni MZURI halafu binadamu mwenzako mlio tofautiana mitazamo ya kiimani unamuona KAFIRUNA..

kati ya jini na mwanadamu mwezio unaona bora jini..??
Sasa Samuya na jini bora nini?
 
BINADAMU HAWEZI KUFANYA UCHAWI BILA KUSAIDIWA NA MAJINI
majini ndiyo yaliyowafindisha binadamu ELIMU ZA SAYANSI,UCHAWI,SILAHA ZA VITA na teknolojia.
Malaika ndiyo waliokuja kuwafundisha binadamu uchawi tena na majina yao ni Harut na Marut katika mji wa babel na waliwaambia kabisa hiki kitu siyo kizuri,ukitaka gogle utaupata ukweli wao,na Mwanadamu ndiyo mwenye maalifa makubwa katika ulimwengu wa giza inamaana jini hutumika na mwanadamu kama mtumwa wake siyo jini anamtumia mwanadamu
 
BINADAMU WOTE KIASILI NI WAJA wa mwenyezi Mungu ..wameumbwa kwa moyo wa kumfanyia MUNGU IBADA ya kweli ...wooote kila binadamu wote..lakini SHETANI NA MAJINI wakishirikiana na watu waliofundishwa uchawi na majini..na kuondolewa ROHO ya UBINADAMU na wengine ni watoto wa MAJINI NA WANADAMU nusu jini nusu mtu..na wengine ni majini kabisa yapo pia MANEFELI yanaishi humu duniani tunaishi nayo siyo marefu kama zamani ni watu kaama mimi na wewe ,wapo kwenye siasa,michezo ,burudani,sanaa,viongozi wa dini,siasa..masokoni,mashuleni..sio binadamu
NDIO WANAOBUNI MABAYA kufanikisha agenda za kuzimu.

NA KUWAFANYA BINADAMU wa kweli wasifanye ibada kwa MUNGU WA KWELI YESU KRISTO***JEHOVANISI**ROHO MTAKATIFU
Umechanganya mambo MUNGU WA KWELI YESU KRISTO JEHOVANIS ROHO MTAKATIFU, hao tayali ni Miungu wawili na watatu ni huyo roho mtakatifu tayali umeshaingia kwenye ibada ya Miungu unamkufuri Mungu ambaye hana mshirika
 
Je Kuna mizimu wabaya na mizimu wazuri?
Nataka nikupe hii elimu sijaisoma popote ila nimefundishwa na majini,nitazungumza kile nilichofundishwa
Binadamu akifa roho yake huwa inazunguka yaani wapendwa wetu wako kalibu na sisi bado tunamiunganiko nao,mara nyingi roho zao zonaishi kwenye miti wanajua kila kinachotukuta kwa hiyo ni vizuri kuwaombea nao wakafurahi basi mambo yetu huwa yananyooka mfano wazazi,
ukiongea kabla ya kuja kwa dini hawa watu waliitwa mizimu na baada ya kupokea dini tunawaita ndugu zetu,sasa ukisema wabaya au wema inategemeana duniani alishije au alikufaje,mfano wale waliouwawa siku ya maandamano roho zao zitawaandama wauaji wao wote kiasi kwamba hawatakuwa na amani mfano Samia kama unavyomuona anavyoteseka na kuna wale ambao duniani walikuwa wachawi wana roho mbaya nao wakifa roho zao huwa zinaangaika
 
Watu hujiuliza wana uhusiano na Waisilamu,Waisilamu Wanafuga Majini?

Majini ni viumbe wa Mwenyezi Mungu wameumbwa miaka 2000 iliyopita kabla ya kuumbwa mwanadamu,wao wanatuona sisi hatuwaoni,Jini ameumbwa kutokana na moto binadamu ameumbwa kutokana na mchanga na maraika wameubwa kutokana na nuru na kuna tofauti kati ya jini na shetani,jini akiwa mbaya anaitwa shetani

Majini huka wapi?majini wanapenda kuishi sehemu tulivu ambazo hawakai watu,vilevile wanapenda kukaa katika misitu mikubwa na majabali,vilevile wanaweza kukaa pamoja na watu majumbani mwao. Wengine wanapendelea kukaa chooni, lakini hawakai chooni wale majini waisilamu bali ni wale makafiri wachafu ambao wanapenda vitu najisi vichafuvichafu. Ndiyo maana kwa Waisilamu kuna dua huwa inafundishwa ambayo unapoingia chooni inabidi uisome ili usipatwe na jini, na sehemu za baharini majini wanapendelea sana kuishi

Na kuna aina tatu ya majini aina ya kwanza majini wenye mabawa na wanaweze kuruka,
aina ya pili ni wale ambao unaweza kuona joka au ng'e,. Aina ya tatu ni wale ambao wana hamahama kwenda maumbile mengine na majini nao wana sheria ambazo zinawabana kama binadamu. Mfano wanapaswa kumtii Mungu na kuswali. Wanapaswa kumtii mtume kama vile binadamu tunavyofanya, kwenda Makka kama sisi tunavyofanya, kama vile Muisilamu inavyobidi kufanya na majini nao inabidi kufanya hivyo

Majini wanawagopa sana binadamu tofauti na binadamu wanavyowagopa, na ukiwaogopa unawapa kichwa, na ndiyo maana katika Uisilamu kuna dua za kujikinga na majini, na wana tabia kama unavyoziona za wanadamu. Kuna majini wacha Mungu, wezi, malaya mashoga, na hata washirikina. Yaani kila tabia uliyonayo mwanadamu basi na majini wanayo


MAJINI WOTE NI WACHAFU NA BABA YAK, MUNGU WAO NI SHETANI , IBILISI. ALAH UNATAKA KUWASAFISHA? WAO NA WAUMINI WAO WOTE NI WACHAFU WAFUASI WA SHETANI.
 
Hata wazungu wanajua kuwa majini wana lugha/makabila/mataifa/imani za dini.

Ni kwavile wewe huna hiyo elimu tu...kama ungekuwa ushawahi kufanya EXORCISM (Kutoa mashetani katika mwili wa mtu aliyekuwa possessed) basi ungekuwa unafahamu haya.

Nishaona mtu akiongea lugha za kimasai ilihali hajui chochote kuhusu umasai, Nishaona mtu akiongea kingereza fluently kabisa ilihali hajui kingereza, nishaona mtu akiongea kichina kabisa ilihali hajui kichina akiwa katika hali ya kawaida., Nishaona mtu akiongea kilingala ilihali katika hali ya kawaida hajui lugha hizo, nishaona mtu akiongea kiarabu kabisa ilihali akiwa katika hali ya kawaida hajui kiarabu.

Kwahiyo Majini wanaongea Lugha kama tuongeavyo sisi, wana familia, kabila na koo, falme n.k kama tunavyoishi sisi.

Tofauti yetu kubwa ni ya kimaumbile, wao wanatuona sisi hatuwaoni na maumbile yao yanatisha tofauti na mwanadamu alivyoumbwa, pia wana uwezo wa kujibadilisha kimaumbile..akachukua umbile la mnyama kama Mbwa mweusi,nyoka n.k pia wadudu kama ng'e....! Pia anaweza kuchukua sura ya mwanadamu...

Tofauti nyingine ni uwezo wao wa kusafiri kwa kasi sana...anaweza akawepo Dar sasa hv kisha dk kadhaa akawa mwanza.
Umewahi kuwa unatoa majini kwa watu huko kwa wazungu?
 
Majini ni malaika waasi kabla hawajalaaniwa baada ya kumua Mungu,walikuwa sehemu ya 1/3 ya malaika wa mbinguni wakiongizwa na aliyekuwa malaika mkuu kiongozi wa sifa kerubi mbinguni aliyekuwa akiitwa LUCIFER.

huyu ndiyo aliongoza hao 1/3 ya malaika wamuasi Mungu mbinguni ,na lengo lake ilikuwa awadanganye 2/3 ya malaika wamuasi Mungu wamuabudu yeye badala yake akapata hai 1/3 tu ya malaika.
Baada ya kuasi lucifer na hao 1/3 wakatupwa chini sehemu ya chini ya dunia inayoitwa kuzimu.

alipofika kuzimu akaweka enzi yake ..na utawala wake ..akarudi duniani kupitia bustani ya Edeni akamkuta Adamu na Hawa akawadanganya nao wamuasi Mungu.
Jina la Shetani au joka kuu akalipata na hao malaika waasi wakaitwa mashetani mapepo au majini..wakaweka utawala wao hapa angani anga ya juu kidogo SADIKI na kule kuzimu ..na hata duniani..huwa wanazunguka zunguka ANGANI...KUZIMU NA DUNIANI..hawakai sehemu moja w

pia wanakaa NDANI ya mtu..mana mtu pia ni makazi au nyumba au kiti cha mapepo au roho wa Mungu...shetani anautawala unao muiga anaiga iga vitu vya mbinguni anamuiga Mungu.

Shetani anapenda kuishi ndani ya mtu anamuita kiti..KITI CHAKE...

na anaishi kwa maagano mfano kama ametumwa kwako au umetengeneza mazingira ya kumruhusu kukuingia mfano ,umeshiriki ibada za mizimu,matambiko,HOFU HUNA IMANI ,mtenda dhambi--dhambi inafungua mlango wa kuteseka
Hufanyi maombi,husali n.k

Majini yanakula na kunywa yakiwa ndani ya binadamu asiye na Yesu mwenye dhambi ...basi humuona kama makazi mazuri salama na safi msafi kwao kumkali kama KITI na hula kupitia kwake maji na chakula..(ikiwemo kumnyonya damu ama kumfanya atoe kafara za damu kwa kujua au kutokujua kama uzinzi huchukua mbegu ,au mimba kuharibika,au kutokwa damu isiyokatika,magonjwa,umaskini,vifi n.k..

jini au pepo humuona binadamu kama mchafu au KAFIRI kafiruna kama atakuwa ni asiye na dhambi au ameokoka kweli anashiriki meza ya bwana /mkate na divai sakrameti mwili wa Kristo na damu ya Kristo..hivyo damu yake huwa imechanganyika na damu ya Yesu ,au anasali sana na kutoa sadaka yani mlokole safi..basi hapo majini humuona kama mchafu kwa sababu hayawezi kumkalia kumtawala ndiyo maana humuona kama KAFIRI. au ana damu chafu


CHOONI..makaburini..kwenye ..water bodies..mito maziwa bahari..
ni malango ya kuzimu..mapepo huwa yana kawaida ya kwenda kwenye enzi ikulu ya kuzimu na kurudi duniani kupitia malango hayo..na ni rahisi kubshuttle kizimu to duniani kupitia shimo la choo na makaburi ,bahari mito n.k

PEPO au jini akipewa misheni ya kukaa ndani yako ..hatakiwi kufeli kushindwa ..hatakiwi kurudi kule ikulu ya kuzimu kwa kushindwa kama looser ameshindwa mission huwa kuna ADHABU ANAPEWA..

ndio maana pepo akifukuzwa akimtoka mtu atazunguka zunguka nyikani..kwa nini haendi chooni au baharini ,mtoni au makaburini kwa sababu ..akienda huko atajikuta amevutwa kurudi kuzimu na akifika huko ata adhibiwa kwa kufeli mission.

Ndio maana hurudi kule alikofukuzwa kule alikomtoka binadamu ..akimkuta binadamu amesafisha nyumba yake ..yani PEPO JINI anapokuona wewe makazi SAFI msafi kwake ana MAANA weee huna nguvu ya Mungu ndani yako unaishi maisha ya dhambi ...ndio maana anaweza kurudi kukaa ndani yako.

Ndio maana Yesu alipowatoa watu mapepo majini aliwaambia msitende dhambi tena..mana dhambi unawatengenezea mazingira safi majini kukukalia kama kiti chao.

Majini wanajiita wasafi kwa maana yake ni kuwadanganya wanadamu..
Na wanadamu wanawaita majini wema au wazuri wale ambao unaweza kuwatuma kuwaagiza

yale majini makorofi ambayo hayatii amri huyaita machafu

MAJINI YOTE NI MABAYA hakuna jini mzuri
Majini hayamuabudu Mungu mana yalishamuasi na yenyewe hayatendi mema ,ni matenda maovu toka mwanzo kule mbinguni yalipoasi yakafukuzwa mbinguni.

Majini yanakuogopa binadamu mwenye nguvu za Mungu aliyeokoka mwenye ushirika na YESU
Majini hayamuogopi mtu anayetenda dhambi.

Majini ndiyo yaliyowafindisha wanadamu maarifa ya kutengeneza sayansi za silaha za maangamizi,maarifa mengi,ikiwemo UCHAWI..

hakuja uchawi unaofanyika bila kushirikisha majini.
Mti yeyote nayaeweza kulogwa jini amehusika ,mtu yeyote anayeweza kulogwa kirahisi majini hayamuogopi...(ALILOGWA)

yanamuogopa mtu ambaye hayawezi kumloga kama mtu mwenye YESU NDANI YAKE.
Mengi uliyoyaeleza kuhusu majini sidhani kama biblia pia imeyaeleza mfano hayo makazi ya majini, kula kwa majini n.k
 
kuna Malaika na Majini,sifa ya ushetani anayo jini aliyemuasi Mungu,vilevile kuna majini wema kabisa wanaogopa dhambi na wanaswali,na binadamu yeyote yule mfano aliyeamuru watu wauwawe tarehe 29 octobar anaingia kwenye sifa ya Ushetani, inamana kiumbe yeyote anayetenda dhambi awe binadamu au jini huwa anaitwa shetani,sijui unanielewa?
Lakini mkuu kuna binaadamu ambaye hatendi dhambi yani yupo kama malaika? Ukisema binaadamu anayetenda dhambi ni shetani si hakuna atakayebaki asiye shetani.
 
BINADAMU HAWEZI KUFANYA UCHAWI BILA KUSAIDIWA NA MAJINI
majini ndiyo yaliyowafindisha binadamu ELIMU ZA SAYANSI,UCHAWI,SILAHA ZA VITA na teknolojia.
Una maana gani kusema ili ufanye uchawi lazima usaidiwe na jini yani kwamba ili umroge mtu lazima ushirikiane na jini bila hivyo huwezi kumroga mtu?

Kama majini ndio wanafundisha elimu ya sayansi na Teknolojia basi hauwezi kusema majini hawana wema kutokana na manufaa wanayopata binaadamu leo kupitia sayansi na teknolojia.
 
Lakini mkuu kuna binaadamu ambaye hatendi dhambi yani yupo kama malaika? Ukisema binaadamu anayetenda dhambi ni shetani si hakuna atakayebaki asiye shetani.
Wapo binadamu wanaotenda mema na tena wakitendewa mabaya hawalipishi kwa ubaya na ni wacha Mungu wa daraja la juu wanakuwa na cheo zaidi ya malaika ukitaka kujua habari hizi soma hadithi za waja wema waliopita kwenye dini ya Uisilamu mfano wajukuu wa mtume ingawa imejengeka taswira ya mkristo ukimwambia asome hadithi za mtume Muhammad (S.A.W) anaona sawa na kumwambia afanye kitu asichokipenda bila kujua atajifunza na kufaidika na kitu kikubwa
 
Nataka nikupe hii elimu sijaisoma popote ila nimefundishwa na majini,nitazungumza kile nilichofundishwa
Binadamu akifa roho yake huwa inazunguka yaani wapendwa wetu wako kalibu na sisi bado tunamiunganiko nao,mara nyingi roho zao zonaishi kwenye miti wanajua kila kinachotukuta kwa hiyo ni vizuri kuwaombea nao wakafurahi basi mambo yetu huwa yananyooka mfano wazazi,
ukiongea kabla ya kuja kwa dini hawa watu waliitwa mizimu na baada ya kupokea dini tunawaita ndugu zetu,sasa ukisema wabaya au wema inategemeana duniani alishije au alikufaje,mfano wale waliouwawa siku ya maandamano roho zao zitawaandama wauaji wao wote kiasi kwamba hawatakuwa na amani mfano Samia kama unavyomuona anavyoteseka na kuna wale ambao duniani walikuwa wachawi wana roho mbaya nao wakifa roho zao huwa zinaangaika
Kuna Ancestors na Ghosts, uliyoeleza wewe hapo ghost na si ancestors ambao ndio hutambulika kama hii mizimu.
 
Wapo binadamu wanaotenda mema na tena wakitendewa mabaya hawalipishi kwa ubaya na ni wacha Mungu wa daraja la juu wanakuwa na cheo zaidi ya malaika ukitaka kujua habari hizi soma hadithi za waja wema waliopita kwenye dini ya Uisilamu mfano wajukuu wa mtume ingawa imejengeka taswira ya mkristo ukimwambia asome hadithi za mtume Muhammad (S.A.W) anaona sawa na kumwambia afanye kitu asichokipenda bila kujua atajifunza na kufaidika na kitu kikubwa
Sijazungumzia kicheo au kidaraja, yani nimeuliza kuna binaadamu huwa hana dhambi kabisa kama ambavyo walivyo malaika?
 
Zamani sana miaka ya sabini ningali kijana niliwahi kuishi Kahama. Siku moja tulikuwa na concerta iliyoletwa na Marehem Mbaraka Mwinshehe. Communigty hall ilijaa sana siku hiyp na vijana wengi wakapata mapatna wa usiku huo. Baada ya show, tulikwenda nyumbani kwa rafiki yetu mmoja tukiwa na mapatna wetu wapya. Nyumba yao ilikuwa na nyumba vingi sana vya nyuma ambako ndiko vijana walikuwa wakiishi. Tulipofika nyumbani, huyo mwenyeji wetu alikuwa anavuta bangi; kwa hiyo akaikoleza kidogo. Ile kutoa moshi wa bangi tu, mmoja wa wasichana tuliyekuwa naye akalipuka na kuanza kuzungumza katika lugha ya ajabu na sauti ya kiume. Basi mwenyeji wetu yule akaamuwa kweny kumwita mama yake ili atoe ushauri. Kaka ktu baada ya kufika tu akasema "Shehe wahurumie watuu usiwabugudhe. Aktoa maneno mengi sana ya kubembeleza na mwishowe yule dada akasema "sitaki mavi mavi mbele yangu" Baada ya hapo u sauto yake ikabadilika tena na juabza kuongea tena sauti ya kisichana. Mama huyo aliesema binti hiyo alikuwa na majini yanayomzuia kufanya mambo kadhaa. Starehe yetu iliharibikia pale pale; kila mtu akachukua hamsini zake.
Mkuu, huyo mgonjwa ambaye mlifikiri yuko possessed na majini au mapepo alikuwa ni mgonjwa wa afya ya akili. Ni shida inaitwa multiple personality disorder au Dissociative identity disorder.
 
Mkuu, huyo mgonjwa ambaye mlifikiri yuko possessed na majini au mapepo alikuwa ni mgonjwa wa afya ya akili. Ni shida inaitwa multiple personality disorder au Dissociative identity disorder.
Shida hiyo inaweza hadi kumfanya huyo mgonjwa kuweza kuongea kifasaha lugha ambayo hakuwahi kujifunza?
 
Sijazungumzia kicheo au kidaraja, yani nimeuliza kuna binaadamu huwa hana dhambi kabisa kama ambavyo walivyo malaika?
Wapo,kwani Yesu alikuwa na dhambi? Ibrahimu,Mussa na Mtume Muhammad (S.A.W)
 
Back
Top Bottom