maandamano
JF-Expert Member
- Nov 12, 2025
- 653
- 1,391
- Thread starter
- #81
JIna akimkuta mtu mwenye elimu ya dini atatandikwa mpaka unamuonea hurumaHao wote humu wanaongea vitu wasivyo vijua na ni kwakuwa wame aminishwa au kufundishwa tofauti na watu walio wafundisha hawana taarifa sahihi kuhusu majini ,
But all in all Majini yapo na sio kitu Cha mchezo hakuna binaadamu mwenye uwezo wa kushindana na jini hata siku Moja ni intelligence creature kuwahi kuexist duniani Aisee it's more than scary
Wewe sikia hivyo hivyo tu