Historia ya Majini

Historia ya Majini

Hao wote humu wanaongea vitu wasivyo vijua na ni kwakuwa wame aminishwa au kufundishwa tofauti na watu walio wafundisha hawana taarifa sahihi kuhusu majini ,

But all in all Majini yapo na sio kitu Cha mchezo hakuna binaadamu mwenye uwezo wa kushindana na jini hata siku Moja ni intelligence creature kuwahi kuexist duniani Aisee it's more than scary

Wewe sikia hivyo hivyo tu
JIna akimkuta mtu mwenye elimu ya dini atatandikwa mpaka unamuonea huruma
 
JIna akimkuta mtu mwenye elimu ya dini atatandikwa mpaka unamuonea huruma
Uongo labda yawe yale ya kuundwa macheketu ,

Hujui lolote kuhusu majini unaongepea watu tu hapa na unayo yaongea yote umemezeshwa kupitia Imani Yako uliyo nayo ya uislam ila kiuhalisia majini they're so powerful more than ulivyo karilishwa narudia Tena kukuambia Majini/mizimu sio kitu Cha mchezo mchezo na hakuna jini mzuri wote ni changamoto
 
Majini ndio Waislamu wa kwanza:
Allah Alivyo waumba kabla ya Binadamu walikuwa wakimwabudu kwa misingi ya Uislamu:
Baadae ndio yakamchagua Muhamadi ili atangaze Uislamu kwa watu:
Kule Pangoni Muhamadi alitokewa na Mijini kwa idhini ya Allah na kumwamrisha asilimishe watu ili wawe Waislamu:
Kwenye Qurani Majini yanajitambulisha kwa jina la
NASI:

4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako.
Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

72:13 - Nasi tulipo usikia uwongofu tuliuamini. Basi mwenye kumuamini Mola wake Mlezi basi haogopi kupunjwa wala kudhulumiwa.

"Nasi ni Waislamu"
"Mola Mlezi"ndio sifa kuu ya Allah
 
Majini ndio waasisi waimani zote duniani SEMA huo ukweli unafichwa

Ila Imani zote zimeundwa na majini na watu wanaofanya ibada katika hizo Imani wanafanya ibada kuwaabudu majini na mizimu lakini hawajui ni mambo ambayo yamefichwa
Nani anaficha hayo mambo?
 
Hao wote humu wanaongea vitu wasivyo vijua na ni kwakuwa wame aminishwa au kufundishwa tofauti na watu walio wafundisha hawana taarifa sahihi kuhusu majini ,

But all in all Majini yapo na sio kitu Cha mchezo hakuna binaadamu mwenye uwezo wa kushindana na jini hata siku Moja ni intelligence creature kuwahi kuexist duniani Aisee it's more than scary

Wewe sikia hivyo hivyo tu
No roho ukiwa mtu wa imani unaweza kupambania nayo!
 
Hakuna jini wakawaida majini wote ni changamoto
Kipi kinadhihirisha kuwa hakuna majini wa kawaida na kwamba wote ni changamoto?
Nauliza hivyo kwa kuangalia kwenye tiba za matatizo ya majini huwa kuna utofauti wa ku deal na hao majini.
 
Kuna mtu namjua yamemfanya kiziwi na haongei labda aongee mwenyewe mwaka wa 10 huu na ni binti yamemuachisha na shule halafu mtu anasema ni fikra zetu tu hivi wengine mnaishi mitaa ipi haya hayawapati na sisi tuje🙄
Hayo ni mashetani huenda alitumiwa na mtu na wapemba wengi ndio hutuma majini kwa watu
 
No roho ukiwa mtu wa imani unaweza kupambania nayo!
Huwezi kupambana na jini Mzee trust me

Maybe awe anatoka Out of bloodlines na ukitokea ukafanikiwa kumshinda lazima akuachie balaa zito

Mfano kukosa uzazi , kuwa fukara , maskini wa kutupa , kukosa kazi ilhali una potential maradhi , and maradhi mpaka kifo kutoishi na mume au mke yaani hukai na wanawake au kama ni ke hukai na wanaume Kila wakati unaachika au huolewi kabisa

Ni rahisi kumshinda jini yule ambaye imetokea ametamani tu kukutawala bila ya kuwa na connection yoyote ile na wewe yaki- genetics , so hao wa hivyo Huwa hawasumbui sana , ila akisja kuwa anatokea kwenye ukoo hapo shughuli unayo ukishindana nae basi jiandae kuwa fukara wa kutupwa au kufikwa na mikosi yote mizito na mambo yenye mfano na hayo
 
Majini ndio Waislamu wa kwanza:
Allah Alivyo waumba kabla ya Binadamu walikuwa wakimwabudu kwa misingi ya Uislamu:
Baadae ndio yakamchagua Muhamadi ili atangaze Uislamu kwa watu:
Kule Pangoni Muhamadi alitokewa na Mijini kwa idhini ya Allah na kumwamrisha asilimishe watu ili wawe Waislamu:
Kwenye Qurani Majini yanajitambulisha kwa jina la
NASI:

4:79 - Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako.
Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

72:13 - Nasi tulipo usikia uwongofu tuliuamini. Basi mwenye kumuamini Mola wake Mlezi basi haogopi kupunjwa wala kudhulumiwa.

"Nasi ni Waislamu"
"Mola Mlezi"ndio sifa kuu ya Allah
Kwahiyo baadaye ndio wengine wakaacha uislamu na kuwa mizimu?
 
Kipi kinadhihirisha kuwa hakuna majini wa kawaida na kwamba wote ni changamoto?
Nauliza hivyo kwa kuangalia kwenye tiba za matatizo ya majini huwa kuna utofauti wa ku deal na hao majini.
First of all ili kumshinda Ina depends na power yake na kama hatokei katika chimbuko la ukoo it's easy to defeat him / her kinyumr na hapo utaula wa chuya
 
Back
Top Bottom