Historia ya maisha yangu


HERI WAPATANISHI. Nimesema ivi siku ile ni moja kwa moja peponi. Most fine advice and cross check.
 
Unaporudi katavi nipitie hapa namanyere🀭
 
Now kipepeo, breathe! Breathe Beaut IN, nasty OUT!
If you say so about kumtoa /kumu guide to success/finding some legs uyo jamaa... God made you his Angel okay... dont take too much credit ndo maana inakuuma jamani. If he decided to ditch you sweetheart just move on... fate will decide. Dont think to revenge okay?! Kwanza umebarikiwa unajiweza so why uanze kuwaza so rotten hivyo??? Be careful cause if you decide to resent/ revenge ukute na yeye kashajipanga to give you a taste of your own medicine apo ndo sisi tunaokupenda tunakua concerned sana coz it may move from bad to the worst.
You are brave, beautiful and blessed. Continue to be a blessing and make this world a better place to everyone dont wish to be a Jezebel/Satan to no one.
We loke you. Most important your kids and this current mchumba loves you. That should suffice. Why be bothered by this other dude you think is a bastard😊
 
Ila kweli mahusiano yanataka mmoja awe mjinga...hiyo para ya mwisho mm siwez kbs jaman dah hapana jaman ndo maana natafuta hela zangu by hooks n crooks .chaaa, unenitelekeza then nikunyenyekekee..jaman Mbingu nitaiskiaga tu
Fanya hivyo utaona matunda yake ,usiwe mbabe na hela utapata lakin zisikupe kiburi kwenye suala la mapenzi
 
Kwanini huyo mwanaume asingekataa Kusaidiwa tangu hapo mwanzo
 
Naudhikaga na hiz swag zenu...eti nijishushe why ww usijishushe kwangu na nimekuzalia mtoto? Why haya uloandkka usigeuze ukamshauri huyo kaka? Ah mm hapana...pita hv
Shida yako mkorofiii unaonekana,jamaa ukute muelewa sanaa ilaa ww mbabeee sanaaa, ukishakuwa mwanamke mwanaharakati matokeo yake ndo haya unaachwa na pesa zako,uzuri wako na tako lako kubwaaa ,anatafutwa mwenye hana pesa ,hana uzuri ,hana tako ilaa anajua kuwa mke manaake nini
 
Daah kumbe ndiyo wewe? Karibu tena!
 
Naudhikaga na hiz swag zenu...eti nijishushe why ww usijishushe kwangu na nimekuzalia mtoto? Why haya uloandkka usigeuze ukamshauri huyo kaka? Ah mm hapana...pita hv

Aah baby dont put it zat way. Imeandikwa mjishushe kwa waume zenu eti... asa mbona unampa kiburi tena...
Kipepeo,
Nipo confused kidogo
Story ulivyoiweka mazingira yake yapo kama wewe ndo unaishi na mtoto if so uyo 'kahaba' alimufikiaje adi aka mmistread/abuse?

Can you please be specific wamemfanyaje 'mwanao' hao
 

Chama letu ma-men... limepata bonge la spokesman against wanawake wakorofiiiπŸ˜πŸ˜…πŸ€©
 
Yaani we Jamaa comments zako ni kama vile huyo mwanaume kutelekeza mwanamke na mtoto kafanya sawa
 
Ujumbe wangu kwako waache hao jamaa (mzazi mwenzio na mkewe) waendelee na maisha yao. Wewe pambana na hali yako na mwanao. Unajikosesha amani bure wenzako wana-enjoy maisha yao. Huyo mtu hukupangiwa awe wako usilazimishe
Ila ingekuwa ndiyo tumesikia mwanaume kasomesha mpenzi wake halafu baada ya kufanikiwa huyo mpenzi wake akamuacha bila shaka ungeshauri huyo mwanaume afanye chochote kibaya kwa huyo mpenzi wake
 
Unafikiri Mungu ndiyo anauendekeza huo ujinga wa kuzalisha mwanamke kisha unatelekeza mtoto
 
Mkuu kwani hakuna wanaume wanaowasaidia wanawake halafu Mwisho wa siku wanawaambia maneno kama hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…