Historia ya maisha yangu

We ropoka tu utakutana naye sinza akigongea konyagi🤣🤣🤣
 
Hahahah siongei na aliyefeli la saba🤣🤣🤣
 
Nadhani ipo sababu ndiyo maana anaogopa kwenda kumshitaki ustawi wa jamii.
Kwa msomi kama huyu kushupalia ushirikina jua lipo jambo la kisheria litamshinda alilomtendea mzazi meenziye.
 
Nauona ukweli katika vifungu hivi.
 
Hahahah siongei na aliyefeli la saba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hahahaa aliyefeli la saba

Umemtongoza kakuzalisha kakuacha sababu alikuwa hakupendi.


Mwerevu yeyote yule anajua hamna mwanaume ataoa zezeta kama wewe neverrrr hayupo yaani mtu akisoma tu comment zako anajua jinsi gani jamaa ameponea kwenye tundu la sindano..

Wewe ni wakuzalishwa tu niamini mimi hutakaa kuja kuwa na msaada kwa mwanaume zaidi ya kumuongezea matatizo,yeyote yule akijichanganya kwako atapata stress tu ..
 
We ropoka tu utakutana naye sinza akigongea konyagi🤣🤣🤣
Na nakuambia, haitakupa faraja hali hiyo, badala yake itakuongezea majuto. Am telling you. Frankly speaking, kama utatimiza azima yako hiyo iko siku utayakumbuka maneno haya. Kwani Malipizo ni ya Mungu. Ndiyo maana akaagiza kusamehe kwani YEYE ndiye mwenye kuhukumu.
 
Hata kama mwanamke ana makosa yake ndo uzire kusomesha mwanao wala kutunza? Huo sio uanaume kamili
Bado hujajua kwa upande ule. Kwa akili yako, ni nani mwehu azire kumhudumia mwanaye pasi na sababu? Ulimi kiungo kidogo sana lakini kinasababisha majubwa usuyoyategemea.
 
Bado hujajua kwa upande ule. Kwa akili yako, ni nani mwehu azire kumhudumia mwanaye pasi na sababu? Ulimi kiungo kidogo sana lakini kinasababisha majubwa usuyoyategemea.
Unaishi wapi wewe? Ukute naongea na mtu yuko mamtoni huko...ina maana hujui wanaume wengi sana wanatelekeza watoto zao wa kuwazaA bila sababu kbs? Point ni moja hata kama mwanamke ana kidomo domo hutakiwi kuzira mwanao...mzire mwanamke sio mwanao..damu yako hiyo..ndo hayo yanakuja ya kina diamond
 
Bado hujajua kwa upande ule. Kwa akili yako, ni nani mwehu azire kumhudumia mwanaye pasi na sababu? Ulimi kiungo kidogo sana lakini kinasababisha majubwa usuyoyategemea.

Ni nani huyo azile damu yake... come down mama yake uyu our fellow man lazma atakua anamjua mjukuu so angeiachaje damu ya mwanae ivyo. Embu muulize uyu witch wa katavi yeye anajigamba ni wa huko uyu man yy ni wa wapi adi awe careless ivyo with his kid/blood? Conclusion ni this witch is the problem finish and klaar
 
I beg to differ . Jamaa hajazila ila ameletewa visa lukuki adi hana means but to lie low. Trust me this woman is treacherous and a big problem kwakweli. The man has no choice. Apo tumemuuliza mtoto alikua anaishi na nani hasemi... basi tuassume alikua anaishi na baba... wake hawapendagi side kids of their men uyu mzazi so yupo sensitive to that anajistukia but its not that bad. Ata kama mtoto kawa mistreated/abused... not to zat extent anavyotuaminisha uyu.
 
Nadhani ipo sababu ndiyo maana anaogopa kwenda kumshitaki ustawi wa jamii.
Kwa msomi kama huyu kushupalia ushirikina jua lipo jambo la kisheria litamshinda alilomtendea mzazi meenziye.
Hilo nalo kweli mkuu maana hagusii kabisa masuala ya kisheria licha ya wadau kadhaa kumshauri ivo ameshipalia uchawi tu
 
Tatizo hatujajua mwanaye kawa tortured kwa njia zipi...aseme tubalance mambo..huku tunasubiri ulozi ufanye kazi yake😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…