Enzi zetu zile za Mwalimu majina kama haya yalikuwapo tele, tuliyaita majina ya "Makweta" kutokana na Jackson Makweta aliyekuwa waziri wa elimu enzi hizo.
Kulikuwa na wakristo wenye majina yote ya kiislam kama wazanzibari, nakumbuka kuna mwenyekiti wa Ukwata alikuwa anaitwa Hussein Ramadhani Ally, mimi nilisoma na Prosper Valentin (mwislamu huyu) halafu kulikuwa na wachagga kibao wenye majina ya kiiraqw.
Nafikiri kama huyo mwenye jina lake halisi hajalalamika, tuiache hii ishu kama ilivyo maana ina historia ndefu ambayo kama haijaathiri kitu hakuna sababu ya kuichokonoa.
Nchemba Mwigulu Lameck Gulo Shumbi Madelu Mkumbo. Kwa majina haya namuomba aje hadharani atoe ufafanuzi juu ya majina yake aliyoyatumia shule ya msingi kabla hajafeli mtihani wa taifa darasa la saba. Pia afafanue alitumia majina gani alitumia baada ya kurudia darasa la kata. Aeleze alitumia majina gani alipokuwa shule ya sekondari Iliboru. Badala ya yeye kuendelea kuropoka juu ya mambo ya kudai kuwa Chadema wanaandaa mauaji upumbavu kabisa.
jamani wanajamvi, nimekutana na na hii statement hii sehemu moja, mimi sijaelewa kwa undani maana ni mpya machoni pangu. Je, kuna mwenye maaelezo ya kina maana hii itatusaidia kumjua huyu bwana ni kwa nini anakuwa na akili aliyo nayo sasa!Jina sahihi la huyu mwigizaji ni lipi? Mwigulu Nchemba ni jina la kisukuma na yeye ni mnyiramba au hilo ndio jina la kisanii ndo maana usanii mtupu kila sehemu... mimi namsihi arudie jina lake halisi la Lameck Mkumbo kama anataka kutumikia jamii na sio usanii huu anaotufanyia...
Sio kwamba ni bora kuliko wengine, si unajua tena CCM kila kitu kujuana na undugu. We huoni huyu jamaa anafanana na nani? Au hujui kuwa mwenyekiti alikaa sana mkoani Singida miaka ya 70 akiwa kiongozi wa chama. DNA tena wala haihitajiki kujua baba yake mzazi wa Mwigulu ni nani, everything is BLACK and WHITE, just open your eyes and see.
kaka ulikuwa house ipi mimi nilikuwa azimio dom two - mnamkumbuka mess mover Ngazi -- jamaa tulimkuta kidato cha pili kidevu choke visiki tupu alivokoma visiki - Kijeba -- ndiyo hao hapo ma repeater, mtu anaoa, maisha yanamshinda anaamua kurudia shule tena.Ma-''repeater'' wote wenye tabia ya majivuno wanakuwa na mihemko kama ya lameck mkumbo madelu.
Nakumbuka repeater mmoja toka singida aliwahi kurudishwa nyumbani tukiwa kidato cha pili Moshi Tech.
jamani wanajamvi, nimekutana na na hii statement hii sehemu moja, mimi sijaelewa kwa undani maana ni mpya machoni pangu. Je, kuna mwenye maaelezo ya kina maana hii itatusaidia kumjua huyu bwana ni kwa nini anakuwa na akili aliyo nayo sasa!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ma-wakipanga-mikakati-ya-mauaji-nchini-5.html
sasa kupora mke wa mtu na kuvunja ndoa kisha kutelekeza familia halafu ukawa na kadi mbili za vyama tofauti kuna uhusiano gani na mtu kuwa msukuma au mhaya, acha kuchanganya madesa wewe
yaani ukiwa kwenye nyumba ya vioo uwe mstaarabu usichokoze watu kaa kimyaDah! Jamii Forum ni kiboko