Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Huo ndio uchakachuaji uliopitiliza ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hadi upo kwenye majina ya viongozi wake ambao kiukweli hawapatikani kwa njia za kiuhalali bila kuminya walalahoi na maskini waliopitiliza ili wao waweze kutamalaki kisiasa. Watu wa aina ya Lameck Mkumbo a.k.a. Mwigulu Nchemba (Naibu katibu mkuu CCM-BARa) wapo wengi juzi tumesikia habari za aina hizi kwa Naibu Waziri wa Elimu aliyefahamika kwa majina ya Philipo Mulugo wakati ana majina yake halisi....haya ni matone mawili katika bahari.....yapo ...mengi yasiyovulika....CHUKUA HATUA...
Pengine tuulizane na tukubaliane kama hizi ndyo aina mpya UJASIRIAMALI...
Na haya yanatokea toka shule za msingi hasa pale mtu anapohitimu drs la saba kwenda Sekondari school...
NI WAULIZE KWA MTINDO HUU WA AINA YA WATAALAM HAWA.... TUTAFIKA....???????
NAWAZA KWA SAUTI PEKEE WALA SIYO MENGINEYO....

Kwani hao wanaotumia majina yao ya kuzaliwa wameifanyia nini nchi hii? Hao waliotorosha mapesa huko uswisi, si wanatumia majina yao halisi. Chuki binafsi dhidi ya mwigulu na mulugo. After all, what is a name? leo naweza kuitwa rashidi, baada ya miaka mitatu nikabadili nikajiita obama, it doesnt matter. This topic is below your belt!!

Binadam, nyie lipi hasa ni jema kwenu??

 
Mimi mbona najua mbunge wa jimbo hilo anaitwa lucas nchililili? sasa hayo mengine ninyi mnayapata wapi?
 
nafikiri kuna mwenye hilo jina au inawezekana alinunua hiyo shahada ya uchumi anayoringia bungeni'swala hapa je ni nani atuthibitishie ili tuchukue hatua za kumpeleka kwenye vyombo vya sheria?

ALithubutu Msemakweli, ila nahisa sasa kanyamazishwa. Ila watatokea kina Msemakweli wengine watufumbulie utata huu na mengineyo.
 
si angeenda mahakamani akaape arudie jina lake ,sasa hii si ni kashifa mpaka kufa kwake anakauka kama Hamisi Kingwangwallah nendeni mukaape mahakani tumieni majina yenu

hivyo vichwa vyenyewe hawanavyo...maana CDM/M4C inawanyima usingizi na muda mzuri wa kuwaza hayo wameukosa kabisa....
 
nafikiri kuna mwenye hilo jina au inawezekana alinunua hiyo shahada ya uchumi anayoringia bungeni'swala hapa je ni nani atuthibitishie ili tuchukue hatua za kumpeleka kwenye vyombo vya sheria?

Mwenye jina halisi la Mwigulu Nchemba (original) yupo...ni Msukuma mmoja hivi hapa mtaani...hizi habari huwa zinamfikia yeye na mteja wake Lameck Mkumbo....hali ikiwa ya aina hiyo....mh.. anamsahaulisha mwenye mali (Mwigulu halisi) na kiasi kidg cha pesa na jamaa analewa pombe..na anahau......afu siku inapita....habari ndo hiyo ndg jf member... ..
 
da..h.... hatimaye ndege mjanja amenasa kwenye tundu bovu.......kilele kibao...kumbe ...holaaaa......CCM
bhana.....ina malezi adilifu....tuipongeze sanaaa....
 
Ingekuwa safi sana kama kungekuwa na uwezekano wa kujua hawa "waheshimiwa" walijazaje zile dodoso za vitambulisho vya taifa - majina, majina ya wazazi, shule ulizosoma, mwaka wa kuzaliwa, mahali walipozaliwa etc! Wameendelea kudanganya?
 
ndio imekuwa mtindo wa viongozi vilaza, mwingine mulugo!! HUYO NDIO MWIGULU NCHEMBA BWANA.....
 
Jina sahihi la huyu mwigizaji ni lipi? Mwigulu Nchemba ni jina la kisukuma na yeye ni mnyiramba au hilo ndio jina la kisanii ndo maana usanii mtupu kila sehemu... mimi namsihi arudie jina lake halisi la Lameck Mkumbo kama anataka kutumikia jamii na sio usanii huu anaotufanyia...

kwa maelezo hayo kama ni kweli ata mtiani alifanyiwa. Du anajiita Tanzania One. Acha azekee CCM Akihama watamtoa roho.
 
Kwa namna huyu jamaa anavyoropoka huwezi kuwa na mashaka juu ya uhuni kama huu anaofanya huyu ni mtu wa ajabu sana hata ukimuona tu anavyoongea unamuonea huruma unasema hivi ana mke na wazazi hawawezi kumshauri hata akajieshimu kidogo maana kila mahali akionekana ni kituko na maskafu yake kama mganga wa kienyeji, huyu jamaa ni aibu ya taifa
 
Usihalalishe uovu uliozoea kuufanya kwa kisingizio cha kwamba muko wengi, sisi kwetu hicho ni kituko cha ajabu na hatujazoea, huwezi kujisifia kwa kufanya makosa halafu unataka tukukubalie ujinga wako
 
Kuna yule mmoja hata kutamka mwaka 1961 kwa kingereza hajui halafu ni waziri wa elimu haya si ni maajabu ya dunia lazima watalii waje Tanzania kuona haya maajabu nitaanza kutangaza hivi vivutio vya viongozi kufoji majina na kushindwa hata kusoma hotuba lazima watalii waje kuona haya maajabu ya dunia
 
kama alipata nafas akaitumia hongera lameck kukesha ni mbinu pia ktk kufikia malengo mm nipo kwa wastan .na nilimuona akitoa habar zake star tv ametoka familia ya wafugaj haya mengine ya ugamba ni mfumo wa ccm,ngoja mchukue nch tuone timuatimua yenu
 
Kip info hicho Watu Wengi walifukuzwa shule kwa kukariri darasa,hivyo ni kosa inabidi Watu hawa washitakiwe ili kuonyesha umuhimu wa sheria za nchi
 
kaka ukiniambia mwigulu ni brand that sells ni sawa maana mambo ya ajabu anayofanya ndiyo brand yenyewe, kitu kinachofanya watu wamfuatilie ni kujua historia yake kujua kwa nini anafanya anayo yafanya basi kusema mwigulu ni kichwa ni kuwatania Watanzania hata wewe hii post yako inaonyesha unamponda sema uwezi kuwa straight kwa kuwa mko pamoja lakini unajua fika kwa nini watu wako na interest na huyu mzee wa kuoropoka hovyo bila breki

Kwa taarifa zilizopo, Hamis Kigwangala na Mwigulu Nchemba, wote lao moja, hawachekani.
 
Ndugu zangu wana JF,kutokana na uzoefu wangu katika harakati hizi za siasa kuanzia kwenye majukwaa,bungeni na ata kwenye mitandao tumekua tukishuhudia shutuma mbalimbali dhidi ya viongozi na kimsingi takribani viongozi wote walioshutumiwa wamekua wakitolea ufafanuzi tuhuma hizo iwe kwa kukanusha na vinginevyo,sasa napata shida juu ya hili linalosikika juu ya uhalali wa muhusika thabiti wa jina la mwigulu nchemba,maana mpaka leo hakuna matamshi ya kukanusha jambo hili,vipi kulikoni jamani
 
Back
Top Bottom