Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Hivi, zile hoja za kiuchumi alizokuwa anazitoa juzi star tv ni za hadhi ya mchumi daraja la kwanza? alikuwa akiulizwa masuala ya kisiasa anajibu kwa utashi wake hadi kutoka nje ya mada. Akiulizwa kuhusu uchumi anakimbilia kwenye ilani ya ccm! Kwani huyu nchemba hawezi kuzungumzia uchumi nje ya ilani ya chama chake?
 
Kwa kawaida mtu anapaswa kuwa na majina matatu,yaani lake la babu na la ukoo,mfano julias kambarage nyerere,sasa mh. Mbunge anatuchanganya anapojitambulisha kwa majina manne yaani MWIGULU LAMECK NCHEMBA MADELU,hii sanaa kaka
 
Vipi mtu anayetoka ccm kutukana watu hovyo halafu hata Tendwa haongea, ni kipi kibaya zaidi kati ya matusi na maandamano ya amani.
 
Hv hamuwez kuchangia bila kutukana,mnaharibu malengo ya watu wakini na kuwapotezea weledi vijana wadogo ambao nao wameanza kuingia kwa kasi humu JF. Na wana CDM mjue mnaweza kumjadili kiongoz wa upande wa pili kwa staha na kwamba kumtukana hakuhalalishi hoja.
 
Nakushangaa sana ww unaejiita MUNYANGAA tena ni mtu anayeonekana mwelewa mazingira ya kwenu SINGIDA unayajua fika tena ni miongoni mwa mikoa iliyo maskini zaidi nikisema hivi namaanisha kipato cha mtu mmoja mmoja miundombinu na jinsi serkali inavyojishughulisha na wakazi wa mkoa huu kwa maendeleo ni kama ziro kabisa na ww unaendelea kutetea mtu ambae hana tija kabisa katika mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla eti ni mwiba kwa pipoz ukimaanisha Cdm kwan Mwigulu ana bifu gani na Cdm na wakati vyama viko vingi kama ana akili nzuri kwanin asimshambulie Lipumba Mrema Mbatia na wengine pia?

Hapo kinachotakiwa aongee mipango ya CCM itatukwamua vipi na janga hili kubwa la umaskini, Elimu hakuna ,barabara hakuna,maji hakuna, Hospital hakuna, madawa hakuna ,umeme hakuna ,viwanda hakuna, mipaka ya nchi wahamiaji wanaingia wanavyotaka na wakati huo huo nchi yetu ina kila kitu kama madini,mbuga za wanyama, gesi, bahari na kila aina ya utajiri tunayo hayo yoote wanayatumia vipi ili kuleta maendeleo? Yeye amekalia matusi?

Na wewe eti unamsapoti eti mwiba kwa pipoz broo nakweshim sana lakin akili yako naona kama vile inataka kupararaiz Watz tunaangamia halafu yeye anahubiri matusi kila sehem bila kujali yuko wapi iwe bungeni nje ya bunge yeye ni matusi tu sasa alikuwa anatafuta Ubunge akawakilishe matusi bungeni?

Naomba bac unijibu
 
Huyu Jamaa namjua anameza sana notise za mwalimu lakini hana uwezo wa kusolve swali jipya, ndiyo maana hata leo hii akiambiwa kitu anatapika kama kilivyo kwa wapinzani bila kupima kina mdhara gani baadaye, he can not reason, simply is a poor in future thinking
 
Nchemba Mwigulu Lameck Gulo Shumbi Madelu Mkumbo. Kwa majina haya namuomba aje hadharani atoe ufafanuzi juu ya majina yake aliyoyatumia shule ya msingi kabla hajafeli mtihani wa taifa darasa la saba. Pia afafanue alitumia majina gani alitumia baada ya kurudia darasa la kata. Aeleze alitumia majina gani alipokuwa shule ya sekondari Iliboru. Badala ya yeye kuendelea kuropoka juu ya mambo ya kudai kuwa Chadema wanaandaa mauaji upumbavu kabisa.
 
sa kumbe mshkaj ni repeter tunapata picha gani ya uwezo wake wa kufikiria na kuchambua mambo maana alifeli ktk first attempt ambako ndo uwezo wake halisi ulipimwa??? tusichukulie kitendo hiki kirahisi rahisi kama wachangiaji wengine wanavyotaka tuamini!!!
 
Memorial Post: Julai 20, 2012 Mitandaoya Kijamii iliibuka na Historia ya jina la Mwigulu Nchemba.

Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda
 
Memorial Post: Julai 20, 2012 Mitandaoya Kijamii iliibuka na Historia ya jina la Mwigulu Nchemba.

Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda

Heh huyu na AMIM ndugu nini???
 
Asante mkuu kwa taarifa hizi.Huu ndio ushahidi tosha kuwa ccm wana viongozi wengi ambao ni vihiyo.Kwanini mahakama zisiwachukulie hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwafunga miaka mingi?Ndo maana wanapoitwa kwenye malumbano ya hoja wanatoa matusi badala ya kujibu hoja.
Jina sahihi la huyu mwigizaji ni lipi? Mwigulu Nchemba ni jina la kisukuma na yeye ni mnyiramba au hilo ndio jina la kisanii ndo maana usanii mtupu kila sehemu... mimi namsihi arudie jina lake halisi la Lameck Mkumbo kama anataka kutumikia jamii na sio usanii huu anaotufanyia...
 
Huyu ni kihiyo, alitakiwa awe magereza akitumika kifungo.
sa kumbe mshkaj ni repeter tunapata picha gani ya uwezo wake wa kufikiria na kuchambua mambo maana alifeli ktk first attempt ambako ndo uwezo wake halisi ulipimwa??? tusichukulie kitendo hiki kirahisi rahisi kama wachangiaji wengine wanavyotaka tuamini!!!
 
Wako wengi ndani ya chama chao.Hayupo peke yake.
sa kumbe mshkaj ni repeter tunapata picha gani ya uwezo wake wa kufikiria na kuchambua mambo maana alifeli ktk first attempt ambako ndo uwezo wake halisi ulipimwa??? tusichukulie kitendo hiki kirahisi rahisi kama wachangiaji wengine wanavyotaka tuamini!!!
 
Mkuu usitegemee jibu toka kwao.Zaidi subiri vitisho.
Nchemba Mwigulu Lameck Gulo Shumbi Madelu Mkumbo. Kwa majina haya namuomba aje hadharani atoe ufafanuzi juu ya majina yake aliyoyatumia shule ya msingi kabla hajafeli mtihani wa taifa darasa la saba. Pia afafanue alitumia majina gani alitumia baada ya kurudia darasa la kata. Aeleze alitumia majina gani alipokuwa shule ya sekondari Iliboru. Badala ya yeye kuendelea kuropoka juu ya mambo ya kudai kuwa Chadema wanaandaa mauaji upumbavu kabisa.
 
Mngejua kuwa SHUMBI MADELU ni baba yake wa kufikia na baba yake halisi yupo na ndiye aliyempigia chapuo kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama mngeogopa kumnanga huyu jamaa maana ni among the most powerful people in this Country...
 
Navyojua mimi miaka ya 1970 -1990 ikukubwa mbinde kufauru, wakati huo watu walikuwa wakirudia rudia wakibadilisha majina, lakini wakati Mh. Mwigilu amemaliza shule na kufeli si ni miaka ya hivi karibuni tu si angeenda private!! badala ya kuchukua jina na mtu mwingine?
 
siyo tu kirepeat anaweza kuwa alimnunua aliyefaulu darasa la saba akaenda kusomea jina la mwigulu, ndomaana taaluma yake ya uchumi haimsaidii kutoa michango yenye tija bungeni zaidi ya kuropoka.

hapa hakuna cha mwigulu nchemba kwanza huyu jamaa ni mpumbavu tu na ndio maana hua ni mropokaji sijui kwa kua anakimdomo kilicho ropoka
 
Back
Top Bottom