Historia inaonyesha wananchi wa ulaya waliwahi kuwanyonga watawala wakuu wawili Kwa sababu baadhi nazoziona kwenye taifa letu ikiwemo umaskini

Historia inaonyesha wananchi wa ulaya waliwahi kuwanyonga watawala wakuu wawili Kwa sababu baadhi nazoziona kwenye taifa letu ikiwemo umaskini

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
3,772
Reaction score
4,913
Historia inaonyesha ufaransa na Uingireza iliwahi kunyonga watawala wawili Kwa sababu mbalimbali

Kwa upande wa ufaransa ilimnyonga Louis na Malkia Maria Kwa sababu kuu ni
Umaskini na njaa
Kodi kubwa
Kokosekana Kwa haki na usawa
Kuupuuza matatizo ya wananchi

Kwa upande wa kiongozi wa uingereza sababu kuu ni kutaka kutawala PEKEE bila kufuata ushauri wa bunge la wakati huo .

Kwa kifupi hakutaka upinzani wowote nchini kwake .
Wananchi wakamwibukia mwisho akanyongwa kikatili .

Kwa upande wa urusi Tsar alipigwa Risasi na watoto wake , na sababu kuu ilikuwa kukataa mabadiliko ya wakati ule

WAswahili wanasema historia Huwa Ina tabia ya kujirudia
 
Back
Top Bottom