KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,790
- 86,532
hujambo?Loooh! John katisha
hujambo?Loooh! John katisha
kama unakuja njoo uwe mshirika sio shabiki hakuna nafasi ya chabo!Haya shughul itafanyika wapi nije Nile chabo![]()
pembe za faru znajulikana,test yake ni kuing'ata,ukiing'ata lazima uume usimame,sema sijajua kama pale kiranja alitest au kabeba tuKuna uthibitisho kwamba hizo pembe ni za faru Yohana? Halafu waziri mkuu akipelekewa pembe za nyati ataweza kukataa kwamba sio za faru?
ha ha mi ni genius nikipiga tambo haibaki alama!Vya wenyewe hivyo shauri yako
Hii video nimeiona YouTube ni ya South na huyo rhino alikuwa femaleNa kuna wakati alikubali kuswalishwa...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu ubongo ndio ndele tosha..😀
Sijambo tumekutan na hukuhujambo?
