Historia fupi ya marehemu

Historia fupi ya marehemu

Kumbe alikuwa memba wa CHAWAPUTA bana sema hakushtuka kama kuna ya nzi wala ya kamba ikabidi apige tu ya jiwe, mbaya zaid baada ya kuendekeza hiyo tabia akajikuta jongoo wake kupanda mtungi ni mpaka apate buster na akaamua rasmi kujiita 'John delicious' dah! R.I.P[emoji22] [emoji22]

4e50e3e454a94de060d26bb96280c8f7.jpg
 
ha ha ha nimependa hapo kwenye kugawa dozi! ngoja na mimi nimuenzi marehemu kuanzia kesho ni kudunga mimba mimba tu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utaweza?
 
Wana jf, katika list ya watu 10 waliotajwa kuwania mshidi wa mwana jf bora MSHANA jr hayupo, je hiyo ni njama kama ya dodoma?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Back
Top Bottom