Maana kama sielewi elewi hivi! Hakuna kanuni zinazokataza virendo hivyo?!! Maana sioni 'fair play hapo zaidi ya kuhamasisha vitendo vya ushirikina, kubaguana na hila mbalimbali katika mchezo wetu huu mtamu. Au fair play inahusika ndani tu ya uwanja na sio kitu cha lazima? Wenzetu ulaya wapo hivi hivi?!!!
Sio mpenzi wa simba na kwa hakika natamani wafungwe 5 bila lakini nachukia hv vitendo visivyo vya kirafiki.
Sio mpenzi wa simba na kwa hakika natamani wafungwe 5 bila lakini nachukia hv vitendo visivyo vya kirafiki.