Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,651
- 5,126
Ukiangalia kwa makini utaona CHADEMA ni Chama dhaifu sana ambacho hakina dira yoyote zaidi kutanguliza siasa za kibabe, maslahi binafsi, ukabila,ukanda na siasa za utoto utoto tu!
CHADEMA kwa zaidi ya miongo mitatu (miaka 30) imeshindwa kabisa kujenga taasisi imara yenye mifumo imara na chain of command inayoeleweka!
Kimeshindwa hata kujenga ofisi ya Makao Makuu licha ya mabilioni ya ruzuku kilichopokea toka serikalini na mabilioni ya wafadhili kilichopokea na kutafunwa na wajanja wachache kupitia ujanja ujanja wa eti kukopesha CHAMA na baadaye kujilipa.
Leo kina Halima Mdee na wenzake wanaenda kuvuliwa Ubunge ili watu waweke wake zao, hawara zao na watu wengine wa ajabu ajabu kujaza nafasi hizo.
Vijana wengine humu ni mbumbumbu hawajui chochote zaidi ya kuitwa tu makamanda uchwara wakati wengine wanapiga maisha kupitia hizi siasa za kijinga jinga!
Umeona Godbless Lema na Ezekiah Wenje baada ya kushindwa Ubunge na kuelemewa na madeni wakakimbilia Canada kulelewa kwa kusingizia kutishiwa maisha!
Hivi nani amtishie maisha Lema au Wenje baada tu ya kushindwa Ubunge?!
Ukiangalia vizuri utaona wanawake wote makini ambao wamejengwa na kujijenga vizuri kisiasa ndani ya CHADEMA wako kwenye hao Wabunge 19.
Sasa kwani adhabu ni lazima muwafukuze uanachama na hakuna adhabu zingine?!
Acheni hizo, kina Mbowe wamekula mabilioni mangapi ndani ya CHADEMA kwa ujanja ujanja na hamjawafukuza uanachama?!
Kama Taifa tusikubali siasa hizi za kijinga jinga ndani ya Taifa kwani zinajenga precedent mbaya sana katika maendeleo ya demokrasia na ukombozi dhidi ya wanawake.
CHADEMA kwa zaidi ya miongo mitatu (miaka 30) imeshindwa kabisa kujenga taasisi imara yenye mifumo imara na chain of command inayoeleweka!
Kimeshindwa hata kujenga ofisi ya Makao Makuu licha ya mabilioni ya ruzuku kilichopokea toka serikalini na mabilioni ya wafadhili kilichopokea na kutafunwa na wajanja wachache kupitia ujanja ujanja wa eti kukopesha CHAMA na baadaye kujilipa.
Leo kina Halima Mdee na wenzake wanaenda kuvuliwa Ubunge ili watu waweke wake zao, hawara zao na watu wengine wa ajabu ajabu kujaza nafasi hizo.
Vijana wengine humu ni mbumbumbu hawajui chochote zaidi ya kuitwa tu makamanda uchwara wakati wengine wanapiga maisha kupitia hizi siasa za kijinga jinga!
Umeona Godbless Lema na Ezekiah Wenje baada ya kushindwa Ubunge na kuelemewa na madeni wakakimbilia Canada kulelewa kwa kusingizia kutishiwa maisha!
Hivi nani amtishie maisha Lema au Wenje baada tu ya kushindwa Ubunge?!
Ukiangalia vizuri utaona wanawake wote makini ambao wamejengwa na kujijenga vizuri kisiasa ndani ya CHADEMA wako kwenye hao Wabunge 19.
Sasa kwani adhabu ni lazima muwafukuze uanachama na hakuna adhabu zingine?!
Acheni hizo, kina Mbowe wamekula mabilioni mangapi ndani ya CHADEMA kwa ujanja ujanja na hamjawafukuza uanachama?!
Kama Taifa tusikubali siasa hizi za kijinga jinga ndani ya Taifa kwani zinajenga precedent mbaya sana katika maendeleo ya demokrasia na ukombozi dhidi ya wanawake.