Haijaisha mpaka iishe: Halima Mdee na wenzake waiburuza CHADEMA Mahakama ya Rufani dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,683
Wanawake wa shoka, Halima Mdee na wezake wametinga Mahakama ya Rufani kutetea ubunge wao. Tuna imani Mahakama ya Rufani itawapa ushindi wa kishindo.
Screenshot_20240119-155756.jpg
 
Wanawake wa shoka, Halima Mdee na wezake wametinga Mahakama ya Rufani kutetea ubunge wao. Tuna imani Mahakama ya Rufani itawapa ushindi wa kishindo.
View attachment 2876532
mahakama iamue mapema coz Halima Mdee anatarajia kugombea uenyekiti Chadema Taifa mapema mach 2024 ...

Na Lazima ashinde coz Mbowe anastaafu rasmi🐒
 
Back
Top Bottom