CCM2025 ni kesho kutwa, watagombea ubunge kupitia Gani cha siasa?
Zengwe lilishakwisha, CHADEMA ilishawafukuza kitambo sana, mahakama ikabariki kufukuzwa kwao, spika na CCM ya mchongo ndio wakaamua kuwakumbatia.Hivi hakuna namna ya lumaliza hili zengwe?.
Anaeshinda rufaa ya nini ?Mbona nilisikia kuwa walishinda kesi?
Nyie CHADEMA mnavyomkataa hadi yule mama aliyechaguliwa na wananchi huwa mnawaza nini?Kodi za watanzania zinachezewa sana ,bado watu wenye nia njema na taifa hawaoni sababu ya kutengeneza katiba mpya???
mahakama iamue mapema coz Halima Mdee anatarajia kugombea uenyekiti Chadema Taifa mapema mach 2024 ...Wanawake wa shoka, Halima Mdee na wezake wametinga Mahakama ya Rufani kutetea ubunge wao. Tuna imani Mahakama ya Rufani itawapa ushindi wa kishindo.
View attachment 2876532
Wametumwa2025 ni kesho kutwa, watagombea ubunge kupitia Gani cha siasa?