Hili nalo ni Jambo la kumnyima mtu Kweli?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Nimeshangaa sana.

Penzi ni kitu cha Kumnyima Mtu Kweli? Mpeane Mapenzi na Mfurahie.

Inashangaza mtu anakuwa tu na roho mbaya, roho ya kichoyo na kibinafsi. Mtu kaja kakuomba penzi. MPE. si suala la kufanya liwe inshu, hasa tabia hizi wanazo sana Wanawake.

Kwa wanaume ni nadra kumnyima mwanamke penzi. Anapewa tu. Hatunaga roho mbaya.
 
Ukiachana na magonjwa na mimba ukute hawana shida ila Wanaume ndo hatutaki wapenzi wetu watoe kwa wengine tunataka wawe wa kwetu tu kama pua kamasi unapengea mwenyewe sasa na wao wanaogopa tutakata huduma au ndoa zitavunjika.
 
Nimeshangaa sana.

Penzi ni kitu cha Kumnyima Mtu Kweli? Mpeane Mapenzi na Mfurahie.

Inashangaza mtu anakuwa tu na roho mbaya, roho ya kichoyo na kibinafsi. Mtu kaja kakuomba penzi. MPE. si suala la kufanya liwe inshu, hasa tabia hizi wanazo sana Wanawake.

Kwa wanaume ni nadra kumnyima mwanamke penzi. Anapewa tu. Hatunaga roho mbaya.

Ilaaa


Iv na hela ni kitu ya kumnyima mtu kweli
 
Back
Top Bottom