Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Habari JF, ninapoandika hapa ni zaidi ya masaa 12 hakuna umeme .suala la umeme limekuwa ni tatizo kubwa sana maeneo yote, Kazi hazifanyi lakini pia watu wanafanya shughuli zao katika mazingira magumu sana na kwa gharama kubwa .
Hili serikali haioni kuna haja ya kufanya jitihada za dharula kuepukana na shida hii?
Miaka nenda rudi umeme Tanzania tatizo ,hivi watanzania tunastahili hiki?
Hili serikali haioni kuna haja ya kufanya jitihada za dharula kuepukana na shida hii?
Miaka nenda rudi umeme Tanzania tatizo ,hivi watanzania tunastahili hiki?