Hili la mbunge baraza la wawakilishi kuwadharau samaki aina ya Kambale na Sato wa ziwa Victoria lisipite pasipo mjadala. Linatoa picha mbaya

Kule China na nchi nyingine wamezungukwa na bahari na bado wanafuga samaki ambao huuzwa duniani kote, hii ni biashara acha uzuzu wewe mla vibua, tukifuga huku bara chondechonde msije anza kutaka mapato yatokanayo na ufugaji wa samaki tugawane sawa,kwa maana nyie hamkuwii kudai ''chenu chetu na chetu si chenu'' acheni uvivu fugeni hao samaki,samaki wa kufuga ni rahisi kuwa control na una kuwa na hakika nao tofauti na hao wa baharini au ziwani.
Fugeni nyie mtajirike mkuu
 
Kimsingi muungano uvunjwe, wazanzibar wanatudharau sn
Kuwa makini na kauli kama hii ni jinai kubwa kabisa,Usiongozwe na hisia.This is treason watch out.Usione hufwatiliwi ukafikiri huonekani.Unahurumiwa
 
Kuna video moja fupi inazunguka mitandaoni anaonekana mbunge wa baraza la wawakilishi akiwaongelea kwa dharau samaki wa Ziwa Victoria. Anasema wao kwa maana ya watu wa visiwani hawana utamaduni wa kula samaki wa aina hiyo, kwamba isitokee mbegu zao zikawekwa kwenye bahari iliyo karibu na visiwa vya Unguja na Pemba!.

Hii ni kebehi mbovu sana, ina maana watu wa visiwani wanaoishi kule mikoa ya Ziwa Victoria hawali samaki wanaovuliwa kutoka kwenye maji yale!!?. Huku kujiona wa maana kunakojionyesha katika maneno ya yule mheshimiwa kunaleta taswira ya dharau kwa jamii pana ya Tanzania.

Waunguja na wapemba tumeishi nao tangu utoto mwetu, tukasoma nao vyuo vikuu na kufanya nao kazi. Na ninao uhakika vyakula vingi vinavyolisha visiwa hivyo na vile vya Comoro vinatoka huku Bara. Ni mazao yanayolimwa na wakulima wa mikoa ya Bara. Kama familia moja ya Kiembesamaki au Mwanakwerekwe inaweza kula wali unaotokana na mchele wa Mbeya lipi la hatari kwa afya ya familia hiyo iwapo itakula samaki wa maji baridi?.

Mbunge huyo wa baraza la wawakilishi kwa lugha ya kweli isiyo ya kuremba ni kwamba ameropoka, tena bila ya kujua madhara ya kauli yake. Alipaswa kutumia aina ya maneno yasiyoleta ukakasi kwa wavuvi wa Ziwa Victoria na wakazi mamilioni wanaoishi maeneo ya kanda ile. Wabunge kutoka Zanzibar wanaoingia ndani ya bunge la Jamhuri wanakula kila aina ya vyakula ambavyo baadhi vinalimwa na wakulima wa kanda ya Ziwa.

Wapo wazanzibari wengi tu waliokuzwa na Sato pamoja na Sangara kule kanda ya Ziwa, wanaujua utamu wa samaki hao. Hivyo mbunge yule atahadharishwe tu na waungwana kwamba kauli yake ndani ya kikao cha baraza la wawakilishi, inaweza kuwa imekera watu.
Yaani Muunguja ademke kuhusu samaki wa Ziwa Victoria wewe utoe povu? Acha kudemka bwana!
 
Mimi hushangaa kwa nini na bahari kubwa vile lakini wabara hawali samaki wa baharini?

Culture dominance ndo inasababisha wabara wasijifunze kula kamba na kolekole.

Binafsi napenda red snipper na sato.
 
Hayo maneno yake yamekukera kuliko njia waliyotumia ya mauaji kuingia madarakani? Kama wazenji wengi waliuwawa na kuachwa na vilema vya maisha, na uliona sawa, ni kipi kinakuimiza sasa kuhusu kejeli ya samaki?
Hakuna kitu hapa, tafuteni jingine. Kuna siku mbunge wa Morogoro wa CCM alikataa kula senene za Bukoba? Unajua kwamba wabunge wa Tanga hawali nguruwe kama Wabunge wa Tarime? Unajua kuwa Wabunge wa Shinyanga hawali panya kama Wabunge wa Mtwara? Huu ndiyo utajiri wa Tanzania, tunasherehekea tofauti zetu na kutukuza Muungano wetu, wasalit wetu wabataka kutuconganisha. ZFZMWCCM.
 
Hayo maneno yake yamekukera kuliko njia waliyotumia ya mauaji kuingia madarakani? Kama wazenji wengi waliuwawa na kuachwa na vilema vya maisha, na uliona sawa, ni kipi kinakuimiza sasa kuhusu kejeli ya samaki?
Kama walitumia njia ya mauji sasa ilikuwaje nyie wapinzani njaa muunge mkono SUK? Mbona Chadema hawakuwakemea ACT? Acha unafiki.
 
Hawa akina yakhe wana matatizo sana, uwezo wao wa kufikiri unaishia palepale kisiwani kwao, sasa namkumbuka yule mzee aliyekuwa mbunge sijui wa Mpanda vile.
wewe samaki wapo wengi zanzibar kwani unaleta mradi wa kuipa pesa zanzazibar ,kama shida ni kufanya biashara nenda Tabora
 
Hawa akina yakhe wana matatizo sana, uwezo wao wa kufikiri unaishia palepale kisiwani kwao, sasa namkumbuka yule mzee aliyekuwa mbunge sijui wa Mpanda vile.
Kwa matatizo hatuwashindi machogo,mtu akinunua gari nzuri gumzo tanganyika nzima mitandanoni habari ndio hio,tumemludisha kambale nongwa.mbona mnakasirika hovyohovyo mna mimba nini ?
 
Kuna video moja fupi inazunguka mitandaoni anaonekana mbunge wa baraza la wawakilishi akiwaongelea kwa dharau samaki wa Ziwa Victoria. Anasema wao kwa maana ya watu wa visiwani hawana utamaduni wa kula samaki wa aina hiyo, kwamba isitokee mbegu zao zikawekwa kwenye bahari iliyo karibu na visiwa vya Unguja na Pemba!.

Hii ni kebehi mbovu sana, ina maana watu wa visiwani wanaoishi kule mikoa ya Ziwa Victoria hawali samaki wanaovuliwa kutoka kwenye maji yale!!?. Huku kujiona wa maana kunakojionyesha katika maneno ya yule mheshimiwa kunaleta taswira ya dharau kwa jamii pana ya Tanzania.

Waunguja na wapemba tumeishi nao tangu utoto mwetu, tukasoma nao vyuo vikuu na kufanya nao kazi. Na ninao uhakika vyakula vingi vinavyolisha visiwa hivyo na vile vya Comoro vinatoka huku Bara. Ni mazao yanayolimwa na wakulima wa mikoa ya Bara. Kama familia moja ya Kiembesamaki au Mwanakwerekwe inaweza kula wali unaotokana na mchele wa Mbeya lipi la hatari kwa afya ya familia hiyo iwapo itakula samaki wa maji baridi?.

Mbunge huyo wa baraza la wawakilishi kwa lugha ya kweli isiyo ya kuremba ni kwamba ameropoka, tena bila ya kujua madhara ya kauli yake. Alipaswa kutumia aina ya maneno yasiyoleta ukakasi kwa wavuvi wa Ziwa Victoria na wakazi mamilioni wanaoishi maeneo ya kanda ile. Wabunge kutoka Zanzibar wanaoingia ndani ya bunge la Jamhuri wanakula kila aina ya vyakula ambavyo baadhi vinalimwa na wakulima wa kanda ya Ziwa.

Wapo wazanzibari wengi tu waliokuzwa na Sato pamoja na Sangara kule kanda ya Ziwa, wanaujua utamu wa samaki hao. Hivyo mbunge yule atahadharishwe tu na waungwana kwamba kauli yake ndani ya kikao cha baraza la wawakilishi, inaweza kuwa imekera watu.
Mbona amewasilisha hoja yake vizuri tu. Hajaonyesha dharau bali kaongea ukweli. Nafahamu watu wengi sana wa kanda ya ziwa ambao hawali samaki wa baharini.
 
watanzania tuna viongozi washenzi sana.Nchi imezungukwa na bahari,wanataka kufuga sato ili iweje??hizo billions wawekeze kwenye elimu
 
... mimi nakaa ma'Ng'wanza lakini, msemakweli mpenzi wa Mungu, tokea nionje kibua na jodari sina hamu na masato yenu tena!
1623126613837.png
 
Kama walitumia njia ya mauji sasa ilikuwaje nyie wapinzani njaa muunge mkono SUK? Mbona Chadema hawakuwakemea ACT? Acha unafiki.

Cdm wakemee ACT kwani wako ni wasimamizi wa vyama vya siasa?
 
Kimsingi muungano uvunjwe, wazanzibar wanatudharau sn
Kwa ajili ya samaki tu??
Mi sio mzanzibar ila hao sato na sangara hunilishi!
Yani niache kupochoa changu ,kolekole , koana , tasi and the likes nianze kulansmaki hawana hata ladha, !!! samaki gani hakubali nazi !
Na hizi tetesi kuwa ziwa limekuwa contaminated na zebaki za kwenye migodi ndo kabisaaaa sitaki hata kuwaona , maana kanda ya ziwa ipo juu kwa kansa , kwa sababu ya zebaki.
 
Haitoi picha mbaya watu wamekula hela eti kuanzisha uvui wa sangara,sato na kambale ,watu mmezungukwa na bahari halafu unataka mabilioni upewe ili uanzishe ufugaji wa kambale,
Hivi mleta mada akili zenu ndio zilivyo ? sa nazidi kufaamu kwanini pale bungeni mnapiga makofi kwa kutumia meza kuyapongeza mazingahombwe kama haya.

Aafu mnataka tuendeleze muungano kwa akili hizi za kufuga kambale,na Zanzibar kiujumla hawali kambale wala sangala wala sato ,kiujumla kwa maana ukileta kipasenteji pengine wanaokula ni 0.0000001%.
Aafu Mmasai wa Zanzibar umwambie ale kambale.bora muungano ufe.
Tuwaze vizuri kwa akili zetu alizotupa Mungu. Hivi unajua tani moja ya Sato ni shilingi ngapi? Hivi unajua mahitaji ya hao samaki kwenye soko nje nchi yakoje? Aliyekuambia ule kambare ni nani. Au mnataka wenzenu wafuge halafu mje kwenye meza ya mgao wa mapato!
 
Back
Top Bottom