ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 329
Tuoneshe mmoja kati ya waliopita aliyefanya zaidi ya Kikwete chochote kile ukipendacho, tukimaliza tutaenda kingine, anza na kimoja tu.
This is a challenge.
Enzi za mkapa fedha ilikuwa na thamani sana na hasa dollars... one dollar sawa na 700 hadi 900 sasa hadi 1750 huu ni upuuz!
Pia ulikuwa ukitoa mwekundu unanunua ktu watu walikuwa wanastaajabu sasa hv unatoa mwekundu unanunua vocha ya mia tano man change unapata bila mguno...
Shame on You