Hili halisemwi na Ikulu

Hili halisemwi na Ikulu

Kuna angalizo linalosema, mtu mwenye akili, akijua kuwa na wewe una akili akakueleza jambo la kipumbavu na wewe ukakubali atakudharau sana.

Ninaamini huwa unawadharau sana wale ambao huwa wanakubaliana na hoja zako za kutunga huku ukitumia JF Id nyingine.

MOD's walitusaidia sana kwa kutufunulia aliyeko nyuma ya Id hii ya Janson Bourne baada ya kuunganisha JF Id zako.

Tumelitunza andiko la moderator kama record pamoja na kuifuta thread na comment na hatutasita kukukumbusha na kuwaeleza wanajf pale tunapoona unaendelea kuleta habari za kutunga kama hii habari.

Ni vizuri tu ukatumia Id yako inayofahamika pamoja na kupata misukosuko kutoka kwa Andrew Nyerere baada ya kujinasibisha kama na wewe ni mmoja wa watoto wa Mwl. Nyerere.

Mbio za mlaghai huishia ukingoni.

Mkuu MwanaDiwani hiyo tafsida yako mbona ipo wazi!!!! Nimeunganisha Nyerere tu basi nikang'amua!!
 
Una matatizo ya uelewa.

Dollar zinakuhusu nini wewe?

Mkuu hapa umechemka, kama unanunua kila kitu shimon hapo huwez ona umuhimu wa change rate ya dola, lakn kwa walio wah vuka mipaka wanajua nn mkuu alimaansha alpo doubt kuhusu rate ya dollar
 
Mi ninachojua ni shinikizo kutoka kwa malkia kuhusu ufisadi wa vyandarua
 
Ni malumbano mazuri kwa kweli na tuendelee kuchambua kwani lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Namfagilia Faiza kwa ku-goggle data yuko fasta sana. Vilevile nahisi si ke ni me!

Kwa namna mada zinavyojadiliwa humu nyingi zinaleta tija. Nawashukuruni wote kwa kutujuza hali halisi ya nchi yetu na maisha kwa jumla.
 
Bibie FaizaFoxy kabla haujakimbilia takwimu unatakiwa kwanza ujiulize mambo muhimu yafuatayo.

1. Kipindi Mwl Nyerere analiongoza taifa letu alirithi waalimu wangapi toka kwa mkoloni mwingereza,kulikuwa na vyuo vingapi vya ualimu kuanzia ngazi ya cheti, shahada na stashahada.

2. Idadi ya shule za msingi na sekondari wakati wake zilikuwa ngapi na zilikuwa zikimilikiwa na nani (serekali ngapi na taasisi za dini ngapi)

3. Ubora wa elimu wakati wa Mwl Nyerere ukilinganisha na ubora wa elimu kipindi cha Kikwete ukoje ?.Je mwanafunzi aliyehitimu darasa la saba wakati wa Mwl Nyerere na kipindi cha Kikwete unaweza kuwalinganisha ?.

4. Idadi ya waTanzania wakati wa Mwl Nyerere na idadi ya watu kipindi cha Kikwete ilikuwa sawa.

5. Wakati wa Mwl Nyerere elimu ilitolewa bure hapakuwa na mchango,mikopo.......watoto wa masikini walisomeshwa bure hadi ngazi ya chuo kikuu kwa fedha za kahawa,pamba,tumbaku na korosho leo Tanzania inauza Dhahabu,Tanzanite na gasi watoto wa masikini hawana uhakika wa kupata elimu bora,hawana uhakika wa mikopo,hawana uhakika wa ajira......

6. Mwl alijenga viwanda vilivyo toa uhakika wa ajira kwa wasomi wetu leo wasomi wanamaliza hawana uhakika wa ajira,hawajui ujuzi waliochota vyuo vikuu wataupeleka wapi mambo kipindi cha Kikwete ni shabalabagala.Hakuna mipango kwaajili ya waTanzania bali ipo mipango ya IMF na World Bank ambayo si rafiki kwa waTanzania masikini.





Elimu ya msingi imefanya nini?

Pata darsa kidogo;

Nyerere 1984:

[TABLE="class: table table-active table-main table-paginated table-sortable resptable tablesorter tablesorter-default"]
[TR]
[TD]Primary education, pupils[/TD]
[TD] 3.49 million[/TD]
[TD]1984[/TD]
[TD] 30th out of 161[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kikwete 2012:

[TABLE="class: table table-active table-main table-paginated table-sortable resptable tablesorter tablesorter-default"]
[TR]
[TD]Primary education, pupils[/TD]
[TD] 8.25 million[/TD]
[TD]2012[/TD]
[TD] 4th out of 88[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source:

Tanzania Education Stats: NationMaster.com

Tanzania Education Stats: NationMaster.com


Nani zaidi?
 
Last edited by a moderator:
Kwangu mimi sioni kama haya mabishano yenu yana maslahi yeyote kwa taifa letu. Hata hivyo ukweli unabakia pale pale kwamba uongozi wa sasa hauja onyesha umakini wa kutosha katika kushughulikia mianya ya rushwa; Kama itakavyokumbukwa katika hotuba yake ya kwanza kwenye bunge la Tanzania JK aliahidi kutunga sheria itakayoziba mianya ya mgonganio wa maslahi nchini, sasa ni zaidi ya miaka minane sheria hiyo haijatungwa. Hivi sasa ndipo tumaeanza kusikia tena yakuwa kuna mchakato wa kuibua tena suala hilo. Kitu cha kujiuliza ni je huo mchakato unatokana na utashi wa viongozi wetu wenyewe au shinikizo kutoka nje! Kama unatokana na utashi wao wenyewe kwanini imechukua muda mrefu jambo hilo kufanyika.
 
Bibie FaizaFoxy kabla haujakimbilia takwimu unatakiwa kwanza ujiulize mambo muhimu yafuatayo.

1. Kipindi Mwl Nyerere analiongoza taifa letu alirithi waalimu wangapi toka kwa mkoloni mwingereza,kulikuwa na vyuo vingapi vya ualimu kuanzia ngazi ya cheti, shahada na stashahada.

2. Idadi ya shule za msingi na sekondari wakati wake zilikuwa ngapi na zilikuwa zikimilikiwa na nani (serekali ngapi na taasisi za dini ngapi)

3. Ubora wa elimu wakati wa Mwl Nyerere ukilinganisha na ubora wa elimu kipindi cha Kikwete ukoje ?.Je mwanafunzi aliyehitimu darasa la saba wakati wa Mwl Nyerere na kipindi cha Kikwete unaweza kuwalinganisha ?.

4. Idadi ya waTanzania wakati wa Mwl Nyerere na idadi ya watu kipindi cha Kikwete ilikuwa sawa.

5. Wakati wa Mwl Nyerere elimu ilitolewa bure hapakuwa na mchango,mikopo.......watoto wa masikini walisomeshwa bure hadi ngazi ya chuo kikuu kwa fedha za kahawa,pamba,tumbaku na korosho leo Tanzania inauza Dhahabu,Tanzanite na gasi watoto wa masikini hawana uhakika wa kupata elimu bora,hawana uhakika wa mikopo,hawana uhakika wa ajira......

6. Mwl alijenga viwanda vilivyo toa uhakika wa ajira kwa wasomi wetu leo wasomi wanamaliza hawana uhakika wa ajira,hawajui ujuzi waliochota vyuo vikuu wataupeleka wapi mambo kipindi cha Kikwete ni shabalabagala.Hakuna mipango kwaajili ya waTanzania bali ipo mipango ya IMF na World Bank ambayo si rafiki kwa waTanzania masikini.

1. Shule zote zilikuwa na Walimu tena wakiingereza, wakihindi, wakiafrika, Nyerere mwenyewe alikuwa Mwalimu, ingekuwa hakuna walimu yeye alisomeshwa na nani? Fikiri.

Wakajionea upuuzi, 1967 Azimio la Arusha, wote wakaondoka. Kenya, Uganda hawakuwa na maazimio Walimu walibaki hata baada ya Uhuru na hakuna aliyekimbia. Ndiyo wametuacha mbali sana kielimu. Fikiri.

2. Wakati wake alikuta shule za Mkoloni, yeye akaongeza kidogo sana za primary.

Hakuna wakati shule zimeongezwa kwa wingi hususa sekondari na vyuo vikuu kama wakati wa Kikwete. Kila aina ya shule zimeongezeka wakati huu wa Kikwete.
 
Bibie FaizaFoxy kabla haujakimbilia takwimu unatakiwa kwanza ujiulize mambo muhimu yafuatayo.

1. Kipindi Mwl Nyerere analiongoza taifa letu alirithi waalimu wangapi toka kwa mkoloni mwingereza,kulikuwa na vyuo vingapi vya ualimu kuanzia ngazi ya cheti, shahada na stashahada.

2. Idadi ya shule za msingi na sekondari wakati wake zilikuwa ngapi na zilikuwa zikimilikiwa na nani (serekali ngapi na taasisi za dini ngapi)

3. Ubora wa elimu wakati wa Mwl Nyerere ukilinganisha na ubora wa elimu kipindi cha Kikwete ukoje ?.Je mwanafunzi aliyehitimu darasa la saba wakati wa Mwl Nyerere na kipindi cha Kikwete unaweza kuwalinganisha ?.

4. Idadi ya waTanzania wakati wa Mwl Nyerere na idadi ya watu kipindi cha Kikwete ilikuwa sawa.

5. Wakati wa Mwl Nyerere elimu ilitolewa bure hapakuwa na mchango,mikopo.......watoto wa masikini walisomeshwa bure hadi ngazi ya chuo kikuu kwa fedha za kahawa,pamba,tumbaku na korosho leo Tanzania inauza Dhahabu,Tanzanite na gasi watoto wa masikini hawana uhakika wa kupata elimu bora,hawana uhakika wa mikopo,hawana uhakika wa ajira......

6. Mwl alijenga viwanda vilivyo toa uhakika wa ajira kwa wasomi wetu leo wasomi wanamaliza hawana uhakika wa ajira,hawajui ujuzi waliochota vyuo vikuu wataupeleka wapi mambo kipindi cha Kikwete ni shabalabagala.Hakuna mipango kwaajili ya waTanzania bali ipo mipango ya IMF na World Bank ambayo si rafiki kwa waTanzania masikini.

3. Wakati wa Nyerere ubora upi wa elimu? yeye alikuta kuna ubora wa elimu, yeye ndio ikafa eliu wakati wake. Nimesoma shule alizorithi Nyerere na shule zilianza kufa 1967 mpaka wakati huu wa Kikwete ndiyo tunaona zina revive kidogo kidogo.

4. Idadi ya Watanzania sio tatizo, idadi ya wanafunzi wanaofika sekondari, chuo kikuu, ni ngapi?

Hata uziongezee X10 hautopata idadi ya leo hii. Hata ufanye kwa ratio ya idadi ya wakati huo na huu still utaona Nyerere alikuwa anatufanyia utani kwenye elimu.

5. Elimu Ilitolewa bure kwani Nyerere alikuja na fedha zake kutokea Butiama? Wakati wake zaidi ya 60% ya budget ilitolewa na nchi za nje, linganisha na leo ni 30% tu.

6. Viwanda gani? vyote vimekufa na yeye yuko hai. Mtu aliyefunga kiwanda cha kuunganisha Matrekta akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono! wewe unamuonaje?

Fikiri, unafunguwa kiwanda wakati huna wakukiendesha, matokeo?
 
sifa ya umbea kwa mwanaume ni mbaya sana
 
jasonbourne naona kakimbia njooo hujibu huku,kwanza jana ulidanganya tena kuwa NEC wamekubali hoja za ukawa na kusitisha bunge la katiba
poor you
 
Last edited by a moderator:
Na Kikwete anarudi Washington DC Septemba 18 kuwaambia mabwana zake kuwa ameshatimiza maagizo waliyompa.

Huu utumwa wetu wa Africa hautakaa uishe kwa staili hii, Africa tunajizalilisha mbele ya mabara mengine na hii yote ni utegemezi wa viongozi wetu wasiotaka kusema kuwa tunaweza badala yake wanasubiri wawezeshwe.
 
Back
Top Bottom