FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,800
Jakaya kapoteza muda wake bila kutegemea, kazi ya Urais ni jukumu kubwa sana kwake.
Tuoneshe mmoja kati ya waliopita aliyefanya zaidi ya Kikwete chochote kile ukipendacho, tukimaliza tutaenda kingine, anza na kimoja tu.
This is a challenge.