Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,675
- 22,264
Leo asubuhi nimesikia kwenye redio kipindi cha kusomewa magazeti kuwa rais ameagiza serikali isimamie na kugharamia maziko ya makada wa CCM huko Njombe waliofariki kwa ajali wakiwa kwenye shughuri za chama chao, kitendo hiki hakitoi haki kwa watamzania wote ambao si wafuasi wa CCM ambao hawakupewa msaada kama huu baada ya kufikwa na janga kama hili.
KATIBA MPYA ITAKUWA SULUHISHO KWENYE MATUMIZI HARAMU YA PESA ZA UMMA.
Pia soma
- Makete: Ajali ya gari yaua viongozi 6 wa CCM
KATIBA MPYA ITAKUWA SULUHISHO KWENYE MATUMIZI HARAMU YA PESA ZA UMMA.
Pia soma
- Makete: Ajali ya gari yaua viongozi 6 wa CCM