Hiki kilaji mnakiitaje kikwenu?

Hiki kilaji mnakiitaje kikwenu?

Wanaitwa je na wanapatikana wapi
Hutoka sambamba na kumbikumbi Ila hawa ni jamii ya sungusungu wakubwa wana kiuno kama nyingi pia hawa ni wanene na wakubwa kuliko nyigu ni kama wanavyoonekana ktk picha, kuna kabila moja huwaita nnene, Mimi niliwaona Iramba japo si wengi kivile
 
Kumbi kumbi wa juu, senene wa chini; nimekula sana hivi vidudu. Siku hizi sijui nao maisha magumu, licha ya mvua hawaji!
image.jpeg
 
Unyonso huo babake......iyo kuukamata hadi ujaze jaji kazii hatariii. Dunia hii bana....unakuta home upo wewe kakako dadako mnaenda kukamata kama umekamata kidogo wadau hawataki mchange mkaange pamoja. Hahahahaha
 
Unyonso huo babake......iyo kuukamata hadi ujaze jaji kazii hatariii. Dunia hii bana....unakuta home upo wewe kakako dadako mnaenda kukamata kama umekamata kidogo wadau hawataki mchange mkaange pamoja. Hahahahaha
Kumbikumbi ikinyesha mvua wakija unawasha chemli unaiweka karibu na dish kubwa lenye maji, wanaingia mtegoni wenyewe!
 
Back
Top Bottom