Hiki kilaji mnakiitaje kikwenu?

Hiki kilaji mnakiitaje kikwenu?

Hawa wadudu wana ladha flani veri ameizing. Ukiwapiga pamoja na ugali wa dona basi mambo yanakuwa swadakta kabisa. Nimewala sana kipindi hicho naishi Katwe-Zambia
Mkuu kunaitwa Kitwe au katwe ?
 
Manona yanaitwa, nimekula sana. Yanapatikana kwa msimu hasa kwenye vichuguu.

Matamu sana kwa ugali, hasa kwa pembeni kuwe na maharage na kisamvu cha karanga, kilichopikiwa kwenye chungu.
 
Nkalaharya.
wenye lugha hii. nazani wanazijua.Babu yangu alikuwa anazipenda mno. alikuwa atutuma tukamkamatie. na mimi nlikuwa mwoga kweli kushika wadudu.
MUNGU akurehemu mume wangu
Sjui kama nimekusoma vizuri dadangu
 
Back
Top Bottom