Hijab kwenye shule za kikristo

wenzako wako kwenye misheni,waliambiwaga wakabatize dunia nzima,ndo maana wanapenda kurubuni watoto kwa kuwapa mafundisho yao,
kule israel walikwenda wamishenery kibao wakaanzisha na mashule wakawa wanafundisha imani yao kwa watoto,waisrael kuja kushituka wakapitisha sheria kali bungeni,ukipatikana pastor ama mchungaji unamhubiria mtoto wa kiyahudi na ama kumpa zawadi ya bibilia,unakula mvua 5 jela na faini kali ya shekel kibao
 
Nani kashupalia? kwa taarifa yako mimi sio muislam, na muislam avae hijab shuleni sijali kwa kuwa ni imani yake na hainipunguzii kitu
Kuna watu wanashughulikia mambo hayawahusu ndewe wala sikio, hayawaongezei wala ya hayapunguzii, basi tu yeye ni ile roho ya (korosho au alama yakuuliza alama ya ? kwa nini) ni ajabu kubwa ya akili za wengine.
 
Oppression inakuja kwa vile akijaribu kuitoa she will be stoned to death
 
........wakwangu kapewa mpaka uwanachama wa ukwata, na vyeti vingine kibao. Alipomaliza na kuingia chuo tu, nikamwambia misalaba na habari ya Yesu imeishia hapo.
Atleast ww ulikua muelewa ukajua umuhimu wa elimu na dini ukaiendeleza sio hawa wengine wasiokuwa na uelewa
 
Waumini wa Dini ya kikiristu hawana vazi rasmi kwa wanawake, wangekuwanalo seminary za kiislam zisinge wakataza kuhudhuria masomo na mavazi yao ya kikiristu
Ndio hawana. Lakini kwanini uwalazimishe kuvaa wasiotaka?

Ni sawa kama Trump anavyosema mnajenga misikiti Marekani na ulaya lakini hamruhusu misikiti kujengwa uarabuni. Sio haki.
 
Ulevi wa dini za majahazi ni mbaya sana kwa miafrika mieusi kama nyie matokeo yake mnaleta utengano miongoni mwenu
Umeona eh! bora dini za mababu zetu walizoabudu mizimwi na kutoana kafara.
 
Waafrika tulikuwa tuna dini pia?
 
Wewe ndio ulishindwa kusema ukweli ili mtu akusaidie au la.sasa umesema ni watoto wa kaka ako na Paroko anajua wewe labda ni mkristo km wewe na huyo kaka ako. So paroko hana kosa na hawezi kujua ni mwialamu hadi aambiwe. Kisa chako kinatufundisha tusiwe waongo.
 
2:82 Quran wanawake ni konde zenu watumieni mpendavyo.....
Tafsiri yake imani hiyo inaruhusu mwanaume amuingilie mkewe tundu saba
Yaan tundu mbili za masikio
..... . tundu mbili za pua
.... .. ..mdomo
..........ukeni
........ Na kinyeoni
Je hii ndio imani iliyokufanya usilimu?
Moto unakusubiri tubu sasa
 
Mkuu kule wanafundishwa kila kitu. wanakula kitabu vizri na wanalijua neno la Mungu vyema.

Ushaona watoto wa Kikatoliki wanakuwa ******?
Kama kuna mtu mwenye upungufu mkubwa wa imani na akili,basi ni yule muislamu anaempeleka mwanae kwenye mashule ya hao wabaguzi,wenye kiburi na kujisikia.
 
Mkuu huko kwa Baba Yetu na Salamu Maria walishapita, watoto walijua mpaka sala za novena.
Mm mtt wangu alidondosha sahan akasema yesu wangu.....baba yake alimwamisha shule term ilofata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…