Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Means ya Kuokoa anatoaga kwa kusema tuombe na kuitaadharisha nchi husika mfano ile ya marekani ya olompiki alisema kabsa serikali ya marekani iimarishe ulinzi na hii ya ndege pia aliitaadharisha nchi ya malaysia na wahusika wanaangalie ndege zao kabla hawajaanza safari.....lakini sasa isingetokea watu wangesema nabii wa uongo mbona hakijatokea

Sijaelewa logic yako hapa, unataka kusema kama alikuwa na uhakika mda na ndege yenyewe asingesema hizo details zote? Na sasa nasikia anasema iko baharini, why kuwa shallow shallow kama hana hakika? Angekuwa precise na kusema 'atazaliwa Yesu wakati wa majirio' kama Isaya alivyomtabiria Yesu at least ingekuwa sawa. Sasa huyu anababia babia tu, if is really heaven sent anakua precise na asemacho kama Daniel 2:25 inavyotaja siku 2500 katika biblia, we vip bwana? soma signature yangu hapo chini
 
Ipo thread ya huyo shetani wenu wa karne 21 nenda kachangie huko lkn unapotuletea hapa utabiri wa kulenga kuwaibia nyie utaifanta hii thread ichafuke sasaiv

Sawa km utabiri wake ni wa kutuibia ni utabiri wa nani ambao hautuibii tuuamini coz kitu kitabiriwa then kikatokea watu humuamini aliyetabiri.....Usimuhukumu mwenzio shetani wkt huna mamlaka ya kumuhukumu..Hakimu MUNGU pekee yake
 
The Air France plane that crashed a few years back was found after 2 and a half years at the bottom of the Atlantic ( inside a deep trench of about 8 kms under the water). Siku nne sio kitu.

The MAJOR difference between air France and this is that the former was able to send distress call plus a succesion of records of flight fault was sent to the respective persons, however, it took 5 days to locate it and 2 years to get all the parts and establish source, whilst the latter nothing is known of it. no records no mayday nothing as if it was sucked out of the earths atmosphere, strangest thing is that it is highly unprecedented for ALL the systems and their triple backups to fail at per without giving a pilot a second to say even once MAYDAY MAYDAY!!! nasubiri sababu nitakayo ielewa kwa kweli hii bado haifanani kabisa,
 
Nasikia imechukuliwa msukule, Gamanywa ataisaka na kuipata na kuwarudisha abiria wote wakiwa hai

Dah mkuu wajua unatani wako at this stage ni machungu tu! Lait ungeona wajane na watoto wakilia kwa hii kitu walah usingesema hilo, its a misery and horror has wrapped the sky of Southern Asia
 
Means ya Kuokoa anatoaga kwa kusema tuombe na kuitaadharisha nchi husika mfano ile ya marekani ya olompiki alisema kabsa serikali ya marekani iimarishe ulinzi na hii ya ndege pia aliitaadharisha nchi ya malaysia na wahusika wanaangalie ndege zao kabla hawajaanza safari.....lakini sasa isingetokea watu wangesema nabii wa uongo mbona hakijatokea

Huyu ataendelea kuwa muongo kihani tu, hana utabiri mmoja wakweli. Ila kuna watu hapa duniani aisey, tuna hasara sana; Wanasiasa wanatuburuza na hawa manabii feki pia wanatuburuza, almuradi tumekuwa watu wa kuburuzwa tuuu. Anyway, a man is but a product of his thoughts, what s/he thinks is what s/he become.
 
Sijaelewa logic yako hapa, unataka kusema kama alikuwa na uhakika mda na ndege yenyewe asingesema hizo details zote? Na sasa nasikia anasema iko baharini, why kuwa shallow shallow kama hana hakika? Angekuwa precise na kusema 'atazaliwa Yesu wakati wa majirio' kama Isaya alivyomtabiria Yesu at least ingekuwa sawa. Sasa huyu anababia babia tu, if is really heaven sent anakua precise na asemacho kama Daniel 2:25 inavyotaja siku 2500 katika biblia, we vip bwana? soma signature yangu hapo chini

Hahahahaaaa.....Only God knows.....km amemtuma au amejituma....hatuna mamlaka ya kuhukumu....
 
Hahahahaaaa.....Only God knows.....km amemtuma au amejituma....hatuna mamlaka ya kuhukumu....

Ok mkuu, kila la kheri katika kuendelea kumuamini sio vibaya kwa vile kila mtu anaamua kuamini nini
 
The Air France plane that crashed a few years back was found after 2 and a half years at the bottom of the Atlantic ( inside a deep trench of about 8 kms under the water). Siku nne sio kitu.

Ninja please! Stop telling lies.

It took only 5 days before some bodies and parts of flight 447's wreckage were recovered in the Atlantic Ocean. What took almost two years to recover were the aircraft's flight recorders.

Check your sources.
 
Sawa km utabiri wake ni wa kutuibia ni utabiri wa nani ambao hautuibii tuuamini coz kitu kitabiriwa then kikatokea watu humuamini aliyetabiri.....Usimuhukumu mwenzio shetani wkt huna mamlaka ya kumuhukumu..Hakimu MUNGU pekee yake

Siamini UTABIRI wa yeyote binaadam chini ya jua, ila projections kwa kutumia scietific causation au sequencing events yes. Yeyote ambaye si mjumbe wa Mungu hawezi kufanya utabiri, binadamu anaweza kufanya UBASHIRI ambao hii ni elimu inayoendana na mafunzo ya vitabu, maneno na matukio haliyopita. Je Joshua ni nabii? Kaletwa na nani? Kwa ushahidi gani? Anatumia nyaraka(suhfi) gani? Kwanini video iwe posted baada ya tukio? Kwani aseme ndege itapata ajali wakati wa take-off? Kuna take off inayochukua zaidi ya saa 1? Kuna take off inayoebdelea ktk umbali wa 35000ft? Bado mwataka kuzipeleka likizo tu akili zenu? Haya, yamekwisha haya. Kila mtu na uwezo wake wa kuyapokea yapitayo duniani. Endelea mkuu.
 
Ninja please! Stop telling lies.

It took only 5 days before some bodies and parts of flight 447's wreckage were recovered in the Atlantic Ocean. What took almost two years to recover were the aircraft's flight recorders.

Check your sources.

Exactly,
 
1km = 4000ft. hivyo hapo kwenye 35000ft ni sawa na 8.8km
Mkuu umechanganya vipimo, sio kweli ukipiga unapata KM10.66800 , tumia google itakusaidia kufanya hiyo kazi kama kikokoteo kinkusumbua humo zipo automatic calculators
 
Mpk saa kadhaa zilizopita simu za familia 22 zimesaini kuwa wanapiga simu za wapendwa wao zaita bila kupokelewa, so huenda bado wapo salama kwenye eneo ambapo signals za cellphone zafika

Eneo la kuisaka ni kubwa mno, inshallah!
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    25.5 KB · Views: 207
Hivi wikipedia ni reliable source ya reference mpk uiamini? Mwalimu wangu alinishauri kusahau hii kitu, si utumie hata peer viewed journals kuliko hii hadi unabandika hapa
Mkuu, wikipedia si direct reliable source ingawa yaweza kuwa na taarifa sahihi kabisa ya jambo fulani. Ni indirect source ambayo waweza kutrace sources zinazowekwa na waandishi ili kupata direct source hence reliability. Ila inafaa kuanzua ili kupata general overview au understanding ya jambo husika.
 
Siamini UTABIRI wa yeyote binaadam chini ya jua, ila projections kwa kutumia scietific causation au sequencing events yes. Yeyote ambaye si mjumbe wa Mungu hawezi kufanya utabiri, binadamu anaweza kufanya UBASHIRI ambao hii ni elimu inayoendana na mafunzo ya vitabu, maneno na matukio haliyopita. Je Joshua ni nabii? Kaletwa na nani? Kwa ushahidi gani? Anatumia nyaraka(suhfi) gani? Kwanini video iwe posted baada ya tukio? Kwani aseme ndege itapata ajali wakati wa take-off? Kuna take off inayochukua zaidi ya saa 1? Kuna take off inayoebdelea ktk umbali wa 35000ft? Bado mwataka kuzipeleka likizo tu akili zenu? Haya, yamekwisha haya. Kila mtu na uwezo wake wa kuyapokea yapitayo duniani. Endelea mkuu.

Huyo Joshua hana lolote. Anachota tu akili za watu ambao ama hawana akili au ni wavivu wa kufikiri.

Hana ujuzi wowote wala uwezo wowote ule wa kutabiri tukio lolote lile to a tee. Tabiri zake nyingi, kama siyo zote, huwa ni za jumla jumla mno kiasi cha mtu yeyote yule kuweza kutabiri.

Kuhusu hii ajali, yaani ukisikiliza huo utabiri wake utaishia kucheka tu. Eti anakwambia kuna nchi ya Asia, lakini hataitaja jina, ambayo itapatwa na ajali ya ndege na kuua watu 200 na kitu.

Hahahaa, sasa huo nao eti ni utabiri. Utabiri my azz. Hivi katika mwaka ni ajali ngapi za ndege huwa zinatokea? Jibu ni karibu kila mwaka lazima huwa kuna ajali za ndege hapa duniani!

Na ni ndege ngapi zenye uwezo wa kubeba watu mia mbili na kitu? Jibu ni nyingi tu.

Na bara la Asia lina nchi ngapi? Jibu ni nyingi tu. Sasa kwa nini hakutaja hata nchi, achilia mbali airline yenyewe?

Sasa hapo kuna utaalamu gani? Mimi ningemwona wa maana kama angekuwa ana nail huo utabiri wake with pin point accuracy - yaani anatoa specifics halafu tukio linatokea kweli kama alivyotabiri.

Lakini huu upuuzi wa kutoa utabiri wa jumla jumla hata mimi naweza kuutoa. Naweza kabisa kusema kabla mwaka huu haujaisha kutatokea ajali ya ndege ndogo katika moja ya nchi za Afrika Mashariki na Afrika ya Kusini na itaua watu zaidi wa 10.

Na kweli, mwezi na nane au wa tisa Precision au SA Airways inadondoka na kuua watu 15, bingo, nami ntakuwa nimeingia kwenye unabii. Hahahahaaaa.......kaazi kweli kweli.

Na hapo wala nitakuwa situmii uwezo wowote wa ajabu bali ni common sense tu na law of averages, basi. Sasa huyo Joshua ni lini kawahi kutoa utabiri na specifics za nguvu na ikaja kweli kutokea.

Hebu ona huo utabiri wake ambao watu wajinga wanadhani kuwa ndo alikuwa anaitabiria hiyo ndege ya Malaysia. Utabiri wenyewe eti aliufanya July 2013. Yaani hakuna specifc info hata kiduchu. Kilichopo ni mi broad generalities tu.



Halafu, iweje utabiri wake usiwe na time limit? Hebu fikiria, eti utabiri aliufanya mwaka jana mwezi wa saba, majuzi ndege imepotea eti watu ndo wanaona alikuwa anaitabiria hiyo ndege. Ina maana utabiri wake ni open-ended?

Ain't nobody in their right mind got time for that.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wikipedia ni reliable source ya reference mpk uiamini? Mwalimu wangu alinishauri kusahau hii kitu, si utumie hata peer viewed journals kuliko hii hadi unabandika hapa

Well, unaweza ukatoa sources zinazo-contradict kilichopo kwenye Wiki?
 
Mkuu utafiti siyo kweli..Tumeuliza ubalozi pia hawana Taarifa ya Mtanzania yeyote kuwepo kwenye hiyo ndege..

Pia Malaysia wametoa List ya Raia na Mataifa yao..

huyo ni muongo..
Hivi kwa nini awatoi orodha ya majina ya abiria Bali nchi?
 
Back
Top Bottom