Maneno tu hayo, mkikabwa na vibaka kelele mpaka mtaa wa pili, mawwwjambazi wakiua na kubaka mnalalamika halafu hapa mnaunga hoja mkono ya "get rich or die trying"!!!!!
Au mnadhani ina mipaka!!!
Sasa imeshukia upande wa afya via MSD, get ready for the show!!!
.......Nasikia katika hilo begi aliweka Unga na Twiga kama wale waliopelekwa Uarabuni.
Mkuu Ndjabu Da Dude, thank you, you mother fu.ker he is real a motherf..ng VIP!, begi lake halikuwa handled like everybody else's, because he is not everybody else!, he is somebody!. Kule mwanzo nimeisha kuambia who he is!, this is my answer for this shit's sake!, acha wivu you suck man!, na wewe you can just get rich and be somebody!, ili ukipita pale DIA, upokelewe mabegi yako yapitishwe off the screen!.WTF! Kwanini begi yake haijakuwa handled like everybody else's na kupitishwa kwenye screening machine? Can you answer that for shit's sake? Why should he be treated like a motherfcuking VIP? Na nani anamwonea wivu? You suck man! *** you!
Mkuu Ndjabu Da Dude, thank you, you mother f.., he is real a motherf..ng VIP!, begi lake halikuwa handled like everybody else's, because he is not everybody else!, mule juu nimekuambi who he is!, this is my answer for this shit's sake!, ache wivu you suck man!, na wewe just get rich and be somebody, ukipita pale DIA, upokelewe mabegi yako yapitishwe off the screen!, na kama hujui, kwa kukusaidia tuu, zaidi ya kupitishwa off the screen, pia kuna security cameras zinazorekodi kila kila kila kona 24/7, hivyo mizigo yote inayopita off screen, security chief anapaswa kuiona!, baada ya hili tukio kuripotiwa humu, kesho Mwakiembe atamsummon security chief, kuscreen security footage that particular time, na atakuta the security camera, just wen't off!. Hiyo kith inaitwa "connections!", just get rich and be "connected!", or die trying!, vinginevyo just shut up you big mouth F..k you too!.
Hii ndio Bongo!, hutaki, unaacha!.
Pasco.
Maneno tu hayo, mkikabwa na vibaka kelele mpaka mtaa wa pili, majambazi wakiua na kubaka mnalalamika halafu hapa mnaunga hoja mkono ya "get rich or die trying"!!!!!
Au mnadhani ina mipaka!!!
Sasa imeshukia upande wa afya via MSD, get ready for the show!!!
Muuza ngada mkubwa rafiki yake billionea le mutuz.
Bado ipo Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!Pasco thread yako ya diplomatic bag imeyeyuka?
unafkri naunga mkono hoja nimenukuu maneno yako
kuonyesha kumbe nchi hiii uharamia unaruhusiwa na ukitaka uonekane una wivu bas sema ukweli
Mzee Punch, kwanza asante kwa kuja na ukweli huu!, tangu thread hii imeanza, nadhani hii taarifa yako ndio inaonekana ni ukweli halisi una hold water!. Nimeipenda zaid closing remark yako,We Pasco, kwani Juma Pinto naye ni VIP? Tangu lini. Historia fupi ya Pinto ni hii: Alisoma sekondari ya Alharamain mpaka kidato cha nne, ingawa matokeo yake hayakuwa mazuri. Alicheza soka kwenye timu ya Pan African miaka ya 1990s, kabla ya kuibukia kwenye magazeti kama mwandishi wa habari za michezo. Baadaye alipewa nauli na kibopa mmoja ili aweze kwenda UK kwa dada yake. Inasemekana akiwa huko alijilipua na hivyo kushindwa kurejea nchini mpaka rafiki yake JK alipoingia madarakani. Akiwa UK hakuwa na shughuli yoyote ya maana zaidi ya kutumwatumwa na dadake. Mambo yake yalianza kubadilika kidogo alipoanzisha kampuni ya Jambo akiwa UK. Ilikuwa ni kampuni ya kawaida sana hadi alipopewa dili ya matangazo na JK. Hiyo dili ilikuwa ni shukrani baada ya yeye kumkaribisha na kuishi na Riz1 pale alipoenda kufanya masters UK ingawa alifeli na kurejea nyumbani. Pinto alifanikiwa kupata pasi ya kusafiria na kurejea nyumbani huku akiendelea kupewa upendeleo maalum katika masuala mbalimbali. Hivi sasa ni mshirika mkubwa wa Riz1 kwenye biashara. Sina uhakika kama wanafanya pia biashara haramu.
, na hapa ndipo ulipolala mzizi wa fitna, kama mtu hana uhakika, hawezi kutuhumu!.Sina uhakika kama wanafanya pia biashara haramu
Pasco for the sake of this post you pointed out things very very crucialMzee Punch, kwanza asante kwa kuja na ukweli huu!, tangu thread hii imeanza, nadhani hii taarifa yako ndio inaonekana ni ukweli halisi una hold water!. Nimeipenda zaid closing remark yako, , na hapa ndipo ulipolala mzizi wa fitna, kama mtu hana uhakika, hawezi kutuhumu!.
Hilo la kuwa VIP bongo, ukiwa nazo wewe ni VIP!, hata muhuri wa ikulu unapata!.
Umasikini mkubwa sana kwa sisi Watanzania ni "umasikini wa fikra!", tafuta historia ya Mengi!. find out aliishia darasa la ngapi na waliosoma nae watakuwa how poor he was darasani!, akapambana na yeye akaenda UK, huko akasomea account, find out hiyo course ni ya muda gani, na yeye alichukua muda gani kumaliza!, but he made it and came back to tanzania with "idea!". Find out SS Bakhersa amesoma wapi, amesoma nini, ameishia darasa la ngapi, na ameanzaje!.
Bill Gate alifika hadi chuo kikuu, ila kwa vile he had "the idea", aliacha shule to pursue his "idea!".
Kama ulivyo umasikini mkubwa kabisa duniani ni "umasikini wa fikra!", vivyo hivyo, utajiri mkubwa kabisa duniani ni utajiri wa "ideas!", haijalisi ulianza vipi, kama una "idea" uka make money, the end justifies the means!, na ukiishakuwa nazo, unaheshimika bila kujali umezipataje!. If he was nothing, akaanzisha "Jambo" hilo "jambo" likaleta pesa, then he is brilliant!.
Matajiri wote duniani ili watajirike, ni lazima wawe "connected", "michongo!", kama "kijana" ni rafiki yake!. kupitia urafiki na "kijana", alikuwa na "idea!" akaipenyesha kwa "mshure!", mshure akaikubali na kuifacilitate!, that is all about "ideals" and getting "connected!".
Kuna mahali nilicomment humu, "umasikini uliotopea ni sheedah!", kuna sisi masikini, shauri ya kukerwa na umasikini wetu, hatufanyi juhudi zozote kujikwamua toka katika lindi la umasikini, tunaishia kuwaonea viwu kila wenye nacho!.
Angalau wewe umekuwa very frank, kukiri huna uhakika, kama anafanya biashara haramu!, kwa matajiri wa bongo, the dividing line between halali na haramu ni very thin!, Mzee wa vijisenti, wamemsema sema, sasa ndie huyo aliyewatungia katiba!, ni shujaa wa taifa sasa!. Membe amesemwa semwa na fedha za Gadafi, sasa ndio hizo zinapalilia njia ya ikulu!. "Jamaa yangu" yule amesemwa sana kuhusu ufisadi, mara richmond, mara afya yake!, hiyo 2015, ndie yeye sasa atakayekuwa, na watu humu watafunga midomo!.
Tanzania with money, everthing is possible, unaanza kuwanunua watu kwa t-shirt na kofia, kisha kwa pilau ya siku moja, siku ya mkesha wa uchaguzi!, hadi unainunua ikulu yenyewe na kuwa mpangaji!.
Pasco.
Huyu ni mmoja wa waandishi wa habari nchini, mwenye mafanikio makubwa sana, alianza kama ripota tuu wa gazeti la majira, akaenda UK, huko akafanya kazi kwa bidii sana na kujituma hadi akafanikiwa akaanzisha kampuni ya Jambo, ndio inaitangaza utalii wa Tanzania duniani kote!, akarejea nyumbani, akaanzisha gazeti, na ndiye mwenyekiti wa Taswa na ni mjumbe bodi ya TTB!, ni kufuatia mafanikio haya, watu wanamuonea wivu bure na kumsingizia maneno ya uongo!.
Kwa vile huyu hupita VIP, siku hiyo alichelewa hivyo alichofanya hapo ni kumuita kijana wa TAA, kumjulisha yeye ni VIP, hivyo hilo begi lilikuwa na ile tag ya diplomatic bag, haliruhusiwi kupita kwenye mashine wala kuchunguzwa chochote!. Bag aliyobaki nayo ilikuwa hand!.
Watu humu ni mi wivu tuu imejawajaa dhidi ya wenzao waliofanikiwa na ku win!.
Natoa wito kwa wale wote wenye wivu dhidi ya waliofanikiwa, na wao wajitume kwa bidii to "get rich or die trying!"
Just get rich anyhow!, do anything that will get you money!, it doesn't matter much what you do, or how you do, what maters most is "the end justify the means!" ukishazishika!, "ikulu ni sebuleni kwako!.
Kuna siku nilihudhuria ile sherry party ya ikulu, magari yote yalipaki nje ya lango kuu la ikulu, hakuna cha waziri wala balozi, magari yote ni nje!, nilipofika ndani nikaona gari moja tuu limepark ndani, ni Red Ferari!, nikauliza ni ya nani na mbona imepaki ndani?, nikaelezwa ile Red Ferari ni ya mtu anaitwa Tanil Somaiya!, huyu ndie agent wa Rada, Gulf Stream, Helcopter za jeshi na (silaha za jwtz)!! hii ni siri, nimeificha msione!. Ukijiuliza kama mawaziri, na mabalozi wamepaki nje!, who the hell is Tanil?!, endelea kujiuliza who the Angel is JP!.
Pasco.
Mkuu King Kong, kwanza asante kwa hii, hili la kuambiwa nimejivunjia heshima, kila siku linaibuka humu, siku zote jibu langu huwa ni moja tuu, ili hiyo heshima nitakayo jivunjia, ivunjike, kwanza ni hiyo heshima yenyewe lazima iwepo ndipo ivunjwe!, kwa bahati mbaya sana, Pasco wa jf, hata hiyo heshima yenyewe hana!, haipo, hivyo hakuna heshima iliyovunjika kwa sababu hata hiyo heshima ya kuvunjwa haipo!.Pasco wa JF,hiyo post uliyoitoa kumsafisha pinto imekuvunjia heshima humu JF ya kutetea wauza unga,kama pinto na michuzi wametoka kwa kulamba miguu ya la profeseli na wewe unafuata njia hiyo hiyo ya kulamba miguu ya wauza unga na mafisadi wa nchi hii,acha hiyo tabia mara moja,hapa napata picha hata deal za kampuni yako ya utangazaji inayopata project za 77 na 88 na halfa za ppf/nssf/tpdc kwamba umetumia njia hiyo hiyo ya kuwalamba miguu,nyie ndio waandisha makanjanja mnaodidimiza tansia ya uandishi kwa kuwafanya wale wanaoandika ukweli na wasionunulika kupata shuruba kama kina kibanda na kubenea!