Hii ya BBC inauma kwa Mwenye utu

Hii ya BBC inauma kwa Mwenye utu

Mkuu sheria za u raia na sheria za ukimbizi unazifahamu?. Kama hauzifahamu ungeenda kuzisoma kwanza kwa kirefu.Umesema hao watu wengine wapo Tanzania kwa zaidi ya miaka 25,Kwa faida yako na wengine nakumegea kidogo sheria ya uraia kwa kuzaliwa. Inasema mtu yoyote akizaliwa hapa nchini ingawa wazazi wake ni wa asili ya nchi nyingine,anakuwa moja kwa moja ni raia kwa kuzaliwa. LAKINI mtu huyo,akifikia umri wa miaka 18,atatakiwa kwenda uhamiaji na kufuata utaratibu wa KUUKANA URAIA WA WAZAZI WAKE ILI ABAKI NA URAIA MMOJA TU. Jambo hili wote wanaorudi makwao walikuwa hawataki kulifanya hata baada ya kuelezwa,je tuwaeleweje,kweli wameonewa hapo?. Inasemekana Jenerali Ulimwengu alikuwa na kesi kama hiyo hapo juu,lakini alipoelekezwa alielewa akafuata masharti na sasa ni raia halali wa Tanzania!
umedadavua vizuri sana,na hapa ndo mjadala unapaswa kuanzia,je hao jamaa waliomba uraia?????
 
WanaJF, aliyetegea sikio BBC dira ya dunia . Taarifa ya Devid Mwampesia inauma sana kuhusu Wanyarwanda na Warundi walioondolewa Tanzania.

Wengine waliolewa Tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .

Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?

Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?

Sheria ni msumeno
 
Hapana. ila nadhani ujue walivyo watu wale never change the Habit. najua vizuri na kampe nikaa nao very Dangerous.
 
wanajf, aliyetegea sikio bbc dira ya dunia . Taarifa ya devid mwampesia inauma sana kuhusu wanyarwanda na warundi walioondolewa tanzania.

Wengine waliolewa tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .

Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?

Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?
mkuu na wewe unasubiri nini kurudi kigali?
 
labda tuiweke hv,katika maamuzi magumu kama haya lazima kuwe na madhara yake,tz si ilichofanya ni kuwaondoa wahamiaji haramu wa nchi zote zinazoizunguka na si rwanda pekee,vile vile haijawakataa hawa wahamiaji kama watafuata utaratibu wa uhamiaji halali kwa kukana uraia wa nchi zao na kujisajili upya tz,kuna ugumu gani kufanya hivyo? kwanin wanakua wazito kutekeleza taratibu za uhamiaji? wana agenda gani na tz? tafadhali ndugu zetu walioondolewa wafuate utaratibu wa jamhuri ya tz na watarudi tu kuishi na jamaa zao.
 
WanaJF, aliyetegea sikio BBC dira ya dunia . Taarifa ya Devid Mwampesia inauma sana kuhusu Wanyarwanda na Warundi walioondolewa Tanzania.

Wengine waliolewa Tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .

Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?

Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?

Warudi kwao tu hao...utu gani? Kwani walivyokuwa wanachinjana kama kuku mwaka 1994 hawakujua damu itawashukia?
 
Kabla Hauja hitimusha jiulize
Je ni sehemu gani Tanzania jeshi ka Tanzania linalinda mpaka wake kama wako vitani?

Je ni sehemu gani ikifika usiku lazima upewe escort ya polisi ili uweze fika salama?

Ukipata hayo majibu utajua JK hajakurupuka.
 
WanaJF, aliyetegea sikio BBC dira ya dunia . Taarifa ya Devid Mwampesia inauma sana kuhusu Wanyarwanda na Warundi walioondolewa Tanzania.

Wengine waliolewa Tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .

Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?

Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?

Halafu EAC inaelekea kwenye free movement of citizens of its member states; huku member mmoja anafukuza wa mwenzie!!!
 
Hawa watu waacheni tu warudi kwao, hakuna shukrani tunayopata kwao zaidi ya chokochoko nyingi tu zinaendelea toka kwao. Watanzania huruma ituponza.
 
Waondoke tu wana roho mbaya sana tuko nao mtaani na kazi pia. Ni wachonganishi ajabu halafu wanaingia kwa gia ya wacha mungu tokeniiiiiiiiiiiiiii
 
Kheri lawama kuliko fedheha

ima warudi kwao au wahalalishe uraia
 
Kwani taratibu za uhamiaji zikoje? Ukikaa mahali kwa muda mrefu inakupa tiketi ya kuwa raia? Na hao wanaume waliokuwa wamewaoa hao akina mama miaka yote hiyo, si wangewatafutia vibali husika?

Hata sisi tuna mapungufu kwenye ufuatiliaji wa wahamiaji haramu, hili hatuwezi kukwepa. Si ajabu kuna baadhi ya hao akina mama waliolewa na watendaji wa kata kama sio wenyeviti wa serikali za mitaa!
 
Sisi watanzania tuna roho mbaya sana hatuna utu moyoni

Kweli JF ni mchanganyiko maalumu! Wako wenye hekima na akili nyingi sana humu, pia wako walio upande wa pili wa hawa..kama wewe sverige!

Unaweza kabisa kuruhusu vidole vyako viandike "Sisi Watanzania tuna roho mbaya sana hatuna utu moyoni" Mi nadhani ungejaza nafasi ya neno lililokosekana hapa " Sisi.............tuna roho mbaya sana hatuna utu moyoni" Hints: Neno hilo ni nchi jirani ya Tanzania! Hapa utakosa mia ya mia kweli?

Na kwa msaada wa mawazo, hao ulowasikia BBC wakihojiwa kama wanazijua taratibu basi wanaweza kuzifuata na wakarudi kuishi Tanzania ki HALALI! Karibuni sana Tanzania, ila mnapokuja msidhani bado tumelala, taratibu tumeanza kufungua macho! Tukiamka kabisa na kunawa uso na kusukutua kinywa tukapata kifungua kinywa na kuanza kazi lazima mtatapika kila kitu mlichokimeza...u know what i mean!

Mungu Ibariki Tanzania! (....huwa tunaiombea hata Africa yote...Mungu Ibariki Africa! Nani kama Tanzania kwa ukarimu wake?)
 
Kama walikuwa wanajijua ni watanzania au wanavibari vya kuishi nchini kwetu, kwa nini waliondoka? hakuna cha huruma hapa, lazima waheshimu taratibu za kuishi katika nchi ya kigeni.

hujitambui au unatumika . . . leo Kagame ametutia umaskini kwa maneno yenu hayo hayo msiyofikiri. bandari yenu tumieni, na malori yenu hayatakiwi rwanda mmeanza kulia lia. Kagame is mastermind hawezi shindana na mtu asiye smart hata kidogo. tutaumia sisi wananchi
 
Kosa halihalalishwi kwa kufanya kosa,warudi kwao wakajipange kama wanaipenda tz si waombe kihalali tu uraia?
Kama rwanda inasifiwa ni nchi nzuri na ina maendeleo ya haraka kwanini wasirudi pia makwao wakajenge nchi yaoo??
 
Back
Top Bottom